The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
- Thread starter
- #81
watu wanafikiri utaniMimi ni mdau wa umeme kama hili litafanyika jiandaeni kununua unit moja ya umeme kwa 500 au zaidi tanesco wanazalisha umeme kwa hasara sana cost ni kubwa lakini kwa sababu ya intervation ya serikali wanauza bei ya chini haswa
shida kuubwa inakuja