Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,538
Kuelekea siku ya mchezo wetu hapa Dar, tunaomba mwenye jezi za timu yetu atupe location tuje kuzinunua.
Tunaenda kuujaza uwanja wa Mkapa.
Tunaenda kuujaza uwanja wa Mkapa.
Washabiki tunazitafuta sana maana tupo wengi.kuna sehemu nilisikia zipo nimeenda nikakuta zimeisha
🤣🤣🤣ili sifa ziende kwa mama Chilunda.
hata mimi bado natafuta ngoja niwasiliane na jamaa zangu wa south wanitumieWashabiki tunazitafuta sana maana tupo wengi.
Wapuuzi hawa, timu hazipitiwa kizembe hivyo. Waweke dau kila mchezaji 20m kuongeza hamasa. Ningeona wa maana hata wangenunua tiketi milioni 20 wakagawa au kuruzuku bei ikawa 3,000serikali imekataa katakata,wanataka Simba na Yanga zisifanyiane hujuma zote zipite kwenda nusu ili sifa ziende kwa mama Chilunda.
View attachment 2934445
Vipi zile za Belouzdad mshaanza kuzidekia chooni?Kuelekea siku ya mchezo wetu hapa Dar, tunaomba mwenye jezi za timu yetu atupe location tuje kuzinunua.
Tunaenda kuujaza uwanja wa Mkapa.
Wajanja tushachukua ya blueSipendi jezi yoyote ya rangi ya njano.
Usikute GSM ananunua jezi zote za Mamelodi sasa hivikuna sehemu nilisikia zipo nimeenda nikakuta zimeisha
Safi sana mkuuWajanja tushachukua ya blueView attachment 2934461
Sijui kwanini hua hujishitukii kama huna akiliUsikute GSM ananunua jezi zote za Mamelodi sasa hivi
Aahaaaaserikali imekataa katakata,wanataka Simba na Yanga zisifanyiane hujuma zote zipite kwenda nusu ili sifa ziende kwa mama Chilunda.
View attachment 2934445
AhaaaaVipi zile za Belouzdad mshaanza kuzidekia chooni?