Anayeogopwa na Serikali.

hawamuogopi wala nini ila ndio mlango wao wa kula pesa za walipa kodi.wanatuchezea movie tu hawa,hawana lolote.
 
Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa?
 
Vyombo vyetu vya usalama vimekuwa kama mbwa koko, vinaogopa wezi na wavamizi, vikiamrishwa kufukuza wezi na wavamizi vinawageaukia wamiliki na kuwang'ata!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…