IGWE JF-Expert Member Feb 3, 2011 9,463 7,387 Feb 24, 2011 #2 Ndibalema said: AL ADAWI. Click to expand... Tena nasikia ni mpemba huyo............
Henge JF-Expert Member May 14, 2009 6,933 1,510 Feb 24, 2011 #3 Lazima aogopwe huwa wanakuwa mafilauni hawa!
Mzito Kabwela JF-Expert Member Nov 28, 2009 18,857 7,618 Feb 24, 2011 #4 Henge said: Lazima aogopwe huwa wanakuwa mafilauni hawa! Click to expand... Huyu si ANSWAR SUNNA?? Cheza nao mbali kabisa!
Henge said: Lazima aogopwe huwa wanakuwa mafilauni hawa! Click to expand... Huyu si ANSWAR SUNNA?? Cheza nao mbali kabisa!
semango JF-Expert Member Aug 24, 2010 532 45 Feb 24, 2011 #5 hawamuogopi wala nini ila ndio mlango wao wa kula pesa za walipa kodi.wanatuchezea movie tu hawa,hawana lolote.
hawamuogopi wala nini ila ndio mlango wao wa kula pesa za walipa kodi.wanatuchezea movie tu hawa,hawana lolote.
I Idofi JF-Expert Member Dec 14, 2010 2,255 1,952 Feb 24, 2011 #6 huyu ni banamu yake na rostam azizi
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,883 109,212 Feb 24, 2011 #7 Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa?
Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa?
L lebabu11 JF-Expert Member Mar 27, 2010 3,272 2,948 Feb 24, 2011 #8 Vyombo vyetu vya usalama vimekuwa kama mbwa koko, vinaogopa wezi na wavamizi, vikiamrishwa kufukuza wezi na wavamizi vinawageaukia wamiliki na kuwang'ata!
Vyombo vyetu vya usalama vimekuwa kama mbwa koko, vinaogopa wezi na wavamizi, vikiamrishwa kufukuza wezi na wavamizi vinawageaukia wamiliki na kuwang'ata!
mfereji maringo JF-Expert Member Nov 19, 2010 1,037 251 Feb 25, 2011 #9 huyo ni geresha tu, wenyewe wapo hapa hapa bongo yeye kanunua kesi tu.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Feb 25, 2011 #10 Majimshindo said: Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa? Click to expand... Mko wengi kweli....hata siku ya kugawana hiyo pesa mtaambulia ngawira tu
Majimshindo said: Roho mbaya tu, anaogopwa na wanao msemasema hovyo. Kawakosa nini? Awe Mpemba au Mwarabu ana nini alilowakosea? Au kudai chake imekuwa nongwa? Click to expand... Mko wengi kweli....hata siku ya kugawana hiyo pesa mtaambulia ngawira tu
Susy JF-Expert Member Feb 5, 2011 1,431 221 Feb 25, 2011 #11 ingekuwa S.A ningemshoot huyu kibara wa serikali