Anayemsifu MWAKYEMBE Atakuwa hamnazo!

Anayemsifu MWAKYEMBE Atakuwa hamnazo!

Status
Not open for further replies.
Kaka hivi ujumbe ukiwa mbaya wakulaumiwa ni nani? Je waweza mlaumu mpeleka ujumbe na kumwacha mtuma huo ujumbe?. Dr Mwakyembe hapo analaumu wapeleka ujumbe wakati watunga ujumbe wanakunywa soda baridi tuu.

Watu wanajiita magreat thinker na wala hawajui mipaka ya kazi. Mwakyembe hana resource za kuinterogate na kupeleleza wauza madawa hiyo ni kazi ya Nchimbi mambo ya ndani.
 
TOPIC yako haina mashiko rudi tena darasana huo ni mwanzo na wewe kama unafanya hiyo kazi ya kusaply madawa acha maana one day utaumbuka acha siasa uchwara malaya poli we coz kafanya kazi nzuri kwanin tusimusie samahani lakini kwa kukutukana coz topic yako imeniuzi

Umetukana bure ila mleta mada yuko sahihi kabisa. Hadi wafungwa watoe airi? Alikuwa wapi hadi Wtz wafungwe kibao kwa kupitisha sembe kwenye himaya yake kama kweli ni mchapakazi. Haoni Nchimbi kapiga kimya kamwachia msala yeye.Hatudanganyiki na mwembwe zake.
 
Wabongo hatuna shukrani. Basi anza wewe na mapapa ulikuwa wapi siku zote? Big Up MWAKYEMBE RESPECT PLAY YOUR PART!
 
Mi nakubaliana na wanaomponda mwakyembe coz, huwezi anza na vidagaa ukiacha mapapa. Mwekyembe ndo anatumia kuihalalisha CCM kwa wananchi. Waagizaji ni watu wa jikon, hawezi wafanya lolote.
Mwakyembe siyo waziri wa mambo ya ndani. Kwa taarifa yako, Mwakyembe hana uwezo wa kuamrisha wakamatwe wauza unga walioko nje ya fensi ya uwanja wa ndege au bandari. Mtu hujikuna mkono unapofikia.
 
Nafikiri hujamuelewa. Amesema wameachishwa kazi then watapelekwa kortini na ataifuatilia mwenendo wa kesi. Hope washitakiwa watataja walioko nyuma ya huo mpango.

mwananchi la jana,,,,hao watu watafikishwa mahakaman baada ya kuhojiwa mmoja mmoja na tume maalum ambayo itaundwa,,,,,INAMAANA BADO HAWAJASHTAKIWA
SIJUI UNANUSA NIN HAPA????
 
Mwakyembe siyo waziri wa mambo ya ndani. Kwa taarifa yako, Mwakyembe hana uwezo wa kuamrisha wakamatwe wauza unga walioko nje ya fensi ya uwanja wa ndege au bandari. Mtu hujikuna mkono unapofikia.

unga uwanja wa ndege haujaanza kupitishwa na akina masogange,,,mwakyembe anajikweza tu baada ya S.A kulalama
 
Leo asubuhi nilikuwa nasikiliza mwendelezo wa hotuba ya dr h Mwakyembe! yes kausomea udoctor! lkn nimeshindwa kumwelewa kabisa Kasimama mbele ya vyombo vya habari kututajia walinzi! Binafsi siamini kama wale wanahatia kwani hata kama ile kazi wasinge iruhusu kupenya basi huenda maisha yao yangekuwa matatani. Nilichotegemea kutoka kwa mtu mkubwa kama waziri mwakyembe ni kutuambia baada ya kuona muvi nzima kupitia makamera hayo ya JNIA amefanya uchunguzi gani na kubaini wanaosafirisha hiyo mizigo. kwa mtu na akili zake kumvimbisha kichwa MWAKYEMBE kuwa ni Mchapa kazi ni kuwadanganya watanzania ili wamuonapo mkuu wa kaya akigawa uwaziri kumfikiria huyu mtu. Sikubali utaratibu alooutumia MWAKYEMBE kwani hakutueleza ni jinsi gani amepambana na mizizi ya tatizo na siyo ujinga wa kuwapumbaza watanzania. kumfukuza mlinzi na wauza madawa ya kulevya wapi na wapi? hao ni dagaa tu mapapa yapo yanafikiria ni jinsi gani yawatumie hao vijana kupanu miradi yao. Miradi ya wakubwa tunajua ukilima bangi unatafutwa kwa udi ila wenye vidonge vya unga hadi wakamatwe out. nilichojifunza kwa taarifa ya Dr ni kuwa kitendo cha wauza unga kukamatwa sauz Africa kimetia doa TANZANIA hivyo waziri kaona kujiosha ni kuwatimulia mbali walinzi. huenda hata hawajahojiwa ili wasimwage siri za mtandao wa unga. Inauma sana
Kuwa RAIS wa Nchi SIO mcheZo..
Hebu sifia kwanza hiki alichokifanya then mpetpet awapandie mapapa, atafika
Nakwambia .. Unadhani serikali Ipo Basi, Hata hiki anachokifanya amekitahidi sana Kwa upande wangu.. Serikali HII IMESHAJICHOKEA mwenye dhamana alishasema so mbaba wa watu at least amefanya ingawa ni 2% lakini ni kitu tofauti Na zeroz Za mijitu kutwa-kucha inalilia Uraisi..
 
Kweli watanzania ni watu wa ajabu. Usipochukua hatua watu wanalalamika. Ukichukua hatuabwatu ooooh danganya toto. Lipi jena?
 
Mwakyembe siyo waziri wa mambo ya ndani. Kwa taarifa yako, Mwakyembe hana uwezo wa kuamrisha wakamatwe wauza unga walioko nje ya fensi ya uwanja wa ndege au bandari. Mtu hujikuna mkono unapofikia.

Yaani Mwakyembe ANZia JF, post Za wauza sembe lazima uzijue tu..
 
Leo asubuhi nilikuwa nasikiliza mwendelezo wa hotuba ya dr h Mwakyembe! yes kausomea udoctor! lkn nimeshindwa kumwelewa kabisa Kasimama mbele ya vyombo vya habari kututajia walinzi! Binafsi siamini kama wale wanahatia kwani hata kama ile kazi wasinge iruhusu kupenya basi huenda maisha yao yangekuwa matatani. Nilichotegemea kutoka kwa mtu mkubwa kama waziri mwakyembe ni kutuambia baada ya kuona muvi nzima kupitia makamera hayo ya JNIA amefanya uchunguzi gani na kubaini wanaosafirisha hiyo mizigo. kwa mtu na akili zake kumvimbisha kichwa MWAKYEMBE kuwa ni Mchapa kazi ni kuwadanganya watanzania ili wamuonapo mkuu wa kaya akigawa uwaziri kumfikiria huyu mtu. Sikubali utaratibu alooutumia MWAKYEMBE kwani hakutueleza ni jinsi gani amepambana na mizizi ya tatizo na siyo ujinga wa kuwapumbaza watanzania. kumfukuza mlinzi na wauza madawa ya kulevya wapi na wapi? hao ni dagaa tu mapapa yapo yanafikiria ni jinsi gani yawatumie hao vijana kupanu miradi yao. Miradi ya wakubwa tunajua ukilima bangi unatafutwa kwa udi ila wenye vidonge vya unga hadi wakamatwe out. nilichojifunza kwa taarifa ya Dr ni kuwa kitendo cha wauza unga kukamatwa sauz Africa kimetia doa TANZANIA hivyo waziri kaona kujiosha ni kuwatimulia mbali walinzi. huenda hata hawajahojiwa ili wasimwage siri za mtandao wa unga. Inauma sana

Hivi hao ambao Mwakyembe amewakamata ndiyo WAKUU WA USALAMA WA UWANJA WA NDEGE? Mpaka yeye Mwakyembe anaziona hizo camera akina KATO, MWEMA NCHIMBI na NZOWA hawajaziona? Wao wamesema nini kuhusu hizo PICHA. IGP MWEMA, NCHIMBI na KATO ambao ndiyo watu wa usalama wamekaa kimya then Mwakyembe, waziri wa safari ndiyo anahangaika na wauza unga? Really? I think, we Tanzanian people are not serious!!
 
Kweli watanzania ni watu wa ajabu. Usipochukua hatua watu wanalalamika. Ukichukua hatuabwatu ooooh danganya toto. Lipi jena?

Watu kama wewe ndiyo watu wa ajabu kwa sababu huujiulizi kwa nini ahangaike Mwakyembe na wauza unga wakati wataalamu wa hiyo kazi wamekaa kimyaa!! Akina IGP MWEMA, KOVA, MANUMBA, NZOWA, KATO mbona hatuwasikii kuhangaika kwenye hili suala? Ina maana hawajaziona hizo camera za uwanja wa ndege?
 
Kazi yake sio kukamata wauza unga bana yeye anacheza na wanaokatisha utaratibu wa ukaguzi ndo wako chini yake!!!!!!

Alichonikera mimi ni kuwaacha wazito wa hapo uwanjani wakidunda

Kwa nini hajamkomalia Kato?
 
Mi nakubaliana na wanaomponda mwakyembe coz, huwezi anza na vidagaa ukiacha mapapa. Mwekyembe ndo anatumia kuihalalisha CCM kwa wananchi. Waagizaji ni watu wa jikon, hawezi wafanya lolote.

Kweli kabisa. Viongozi wetu hili jambo hawaliwezi, hivi tokea wakamatwe wabeba UNGA huo pana kesi ngapi mahakamani? Hii ni sawa na kutumia nguvu nyingi kumtibu mtu aliyejikwaa na kuacha kung'oa kisiki njiani.
Mwakyembe siyo waziri wa kukamata waharifu 'mambo ya ndani'. Yeye anachokifanya ni kuangalia usafi airport na bandari, sasa kama katika kufanya hiyo kufagia takataka na kuwakamata wanaozileta basi msimlazimishe awakamate pia wanaozaliasha taka hizo.
 
Mkuu msabaha
unajua hata jamaa aliekamatwa na kudaiwa amesema ametumwa kutaka kumuu ulimboka alietokea kanisa moja la ufufuo na uzima hapa dar ..na mch akhojiwa na kusema yule jamaa alikuwa chizi na amekiri ana matatizo ya akili..lakini kuua shetani apite mkuu mmoja wa kanda ya polisi akaingia live na kutangaza mtuhumiwa wa mauwaji ya ulimboka amekamatwa...

Ni juzi dpp kamfutia kesi na kumpa nyingine ya ukweli kwa kudanganya alitaka kumuua ulimboka
sasa ni vigumu kusema nani chizi kati ya hao?embu nisaidie kwanza kwa hili
 
Mi nakubaliana na wanaomponda mwakyembe coz, huwezi anza na vidagaa ukiacha mapapa. Mwekyembe ndo anatumia kuihalalisha CCM kwa wananchi. Waagizaji ni watu wa jikon, hawezi wafanya lolote.

Yaani Mwakyembe ANZia JF, post Za wauza sembe lazima uzijue tu..
Kuuza sembe siyo tatizo, tatizo kuwa punda. Mwakyembe yeye anadili na punda hivyo mimi hawezi nipata. Anyway, mi sembe ninayouza ni CHAGUO LA MAMA, MAMALISHE, MAGUGU NA AZAM SEMBE tu. Hizo nyingine hata sijui wanazitoa wapi.
 
Kuna watu wanatoa mawazo humu kwa hoja nyepesi kama Tambwe Hizza, kama mtu mzima unashindwa tu kutofautisha executive power limit ya waziri wa uchukuzi na yale ya mambo ya ndani basi andika hoja yako kwa namna ya swali ili ujibiwe! Leo hii Mwakyembe aende kumsaka papaa muuza unga huko Kinondoni, Ilala, Block 41, wakati yeye anadeal na wizara ya uchukuzi si ndo utamuona hamnazo sio? Hiyo ni mamlaka nyingine ya Mambo ya Ndani. Mimi binafsi nampa big up Dkt. Kuna mheshimiwa mmoja eti alisema nchi itatikisika siku hyo list wa vigogo wazee wa sembe itakapotajwa, watajwe basi. Mleta mada umeandika shudu sana maanina zako.
 
Kwanini usianze kulaumu yule aliyetibu teja bila kumuuliza madawa alikuwa anapata toka wapi. Huyu kathubutu wewe waja juu. Ebu acha hizo aarrgh

rushanju, umesahau kuwa mteja teja ni mfalme? Mteja teja maarufu anaweza kupewa mkopo au ofa ya kitu chochote kile kwani mchango wake wa kwenda kununua unga dukani ni mkubwa! Ndiyo maana huyo mteja teja alipewa hiyo ofa ya Hedex!
 
Kwanini usianze kulaumu yule aliyetibu teja bila kumuuliza madawa alikuwa anapata toka wapi. Huyu kathubutu wewe waja juu. Ebu acha hizo aarrgh

rushanju, Umesahau kuwa mteja ni mfalme? Ndiyo maana mteja teja alipewa ofa ya Hedex ili aweze kutuliza maumivi ya kichwa kutokana na mchango wake mkubwa wa kununua unga dukani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom