Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,985
masanilo wawekee picha waone uzalendo wa jk
Revelend amefungiwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
masanilo wawekee picha waone uzalendo wa jk
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Ndugu watanzania wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yetu, h.... akuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania.
Ndugu watanzania wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yetu, wote tunatambua kazi nzuri aliyo ifanya Rais wetu kipenzi JK ndani ya miaka mitano yake ya uongozi. Ni ukweli usiopingika hasa kwa watu wote wenye akili timamu za watu wenye uwezo wa kupambanua mambo kuwa JK ameacha alama nyingi za kudumu hapa nchini na hamna mtu atakayeweza kuzifuta.
Heshima ya nchi yetu imezidi kujionesha kitaifa na kimataifa, Hakuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania. Rais Bush na Obama ni mashahidi wa hili.
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Viva kikwete, nenda mwanakwetu wanao tuko nyuma yako.
May your star keep on shinning................. Bravo, bravo, bravo, .... Aluta continua..............
Happy Birthay baba yetu, Tanzanians loves you and we are all behind you dont give up!!
May God bless you and God bless Tanzania!!
Waambie bwanaKatika mambo ambayo huwa siku zote yananishangaza, ni kuona hata mashabiki wa kikwete wana hoja za kitoto kama Kikwete mwenyewe. Hivi mtu mzima unakaa chini na kuanza kujisifia kwa kumlete Bush nchini na kupewa msaada wa vyandarua? Ulimbukeni gani huu? Hivi ina maana CCM na kikwete wenu uwezo wenu wa kufikiria ndo unaishia hapo tu, kufikiria zaidi misaada kuliko namna nzuri ya kuzitumia resources zilizopo ndani ya nchi ili kuwaongezea wananchi kipato na kuboresha maisha yao?
Kwenye red hapo umesema ukweli mtupu, hakuna mtanzania anayeweza kufuta maumivu na makli ya maisha tuyapatayo sasa, vifo kwa magonjwa yanayoweza zuilika vimeongezeka kipindi hiki cha "mpendwa" wetu JK kuliko wakati mwingine wowote, mzaha serikalini umeongezeka na pengo kati ya tajiri na maskini limetanuka kwa nguvu zaidi, ni kweli hakuna atayeweza futa kumbukumbu hizi!