Anayempinga Kikwete si mzalendo

Katika mambo ambayo huwa siku zote yananishangaza, ni kuona hata mashabiki wa kikwete wana hoja za kitoto kama Kikwete mwenyewe. Hivi mtu mzima unakaa chini na kuanza kujisifia kwa kumlete Bush nchini na kupewa msaada wa vyandarua? Ulimbukeni gani huu? Hivi ina maana CCM na kikwete wenu uwezo wenu wa kufikiria ndo unaishia hapo tu, kufikiria zaidi misaada kuliko namna nzuri ya kuzitumia resources zilizopo ndani ya nchi ili kuwaongezea wananchi kipato na kuboresha maisha yao?

Hapa wana JF tunachangananya vitu viwili, U halisia na Itikadi za kisiasa. Naomba tuweke itikadi zetu pembeni na tuangalie uhalisia wa mambo ambayo ameyafanya JK. Uki post picha za wastaafu wa EAC na kusema hiyo ni failier ya JK, unakuwa humtendei haki na hata angekuwa ni Slaa (WPS) hali kama hiyo ingejitokeza na yeye alikuwa anafuata sheria na madai hayo yalitekelezwa kwa mujibu wa sheria.

Kila uongozi ni lazima uwe na vipaumbele, huwezi kufanya kila kitu na hasa katika nchi changa kama hizi za ulimwengu wa tatu. Kwa mtu mwenye upeo, atabaini kabisa kwamba vipaumbele vya JK ilikuwa ni kwenye Elimu na Afya ili kuweza kufungua mtanzania aweze kuziona raslimali zilizopo na aweze kuzitumia kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini.

Awamu ijayo ni kuimarisha miundo mbinu na utalii, na kuimarisha zaidi sekta ya viwanda na hivyo kuongeza ajira katika sekta rasmi na isiyo rasmi. Lakini pia kilimo kitaboreshwa na kuwa bora na cha kisasa zaidi.

Nakusihi ewe mtanzania mwenzangu, usichezee kura yako kwa kuipoteza bure!! Mchague Kikwete ndiye mkombozi wetu, na mtetezi wa wanyonge.
 
Ndugu watanzania wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yetu, wote tunatambua kazi nzuri aliyo ifanya Rais wetu kipenzi JK ndani ya miaka mitano yake ya uongozi. Ni ukweli usiopingika hasa kwa watu wote wenye akili timamu za watu wenye uwezo wa kupambanua mambo kuwa JK ameacha alama nyingi za kudumu hapa nchini na hamna mtu atakayeweza kuzifuta.
Heshima ya nchi yetu imezidi kujionesha kitaifa na kimataifa, Hakuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania. Rais Bush na Obama ni mashahidi wa hili.
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Viva kikwete, nenda mwanakwetu wanao tuko nyuma yako.
May your star keep on shinning................. Bravo, bravo, bravo, .... Aluta continua..............
Happy Birthay baba yetu, Tanzanians loves you and we are all behind you dont give up!!
May God bless you and God bless Tanzania!!

Ndivyo unavyojidanganya! After all, Watanzania hawampingi Jakaya Kikwete. On the contrary wanampenda sana ila wanataka mabadiliko ili wawe na kiongozi mwenye utashi wa kisiasa na anayesimamia utekelezaji wa sera na siyo yule anayeziimba kwa moyo. "If I prefer A to B, it does not mean that I dislike B".
 
Hapa wana JF tunachangananya vitu viwili, U halisia na Itikadi za kisiasa. Naomba tuweke itikadi zetu pembeni na tuangalie uhalisia wa mambo ambayo ameyafanya JK. Uki post picha za wastaafu wa EAC na kusema hiyo ni failier ya JK, unakuwa humtendei haki na hata angekuwa ni Slaa (WPS) hali kama hiyo ingejitokeza na yeye alikuwa anafuata sheria na madai hayo yalitekelezwa kwa mujibu wa sheria.

Kila uongozi ni lazima uwe na vipaumbele, huwezi kufanya kila kitu na hasa katika nchi changa kama hizi za ulimwengu wa tatu. Kwa mtu mwenye upeo, atabaini kabisa kwamba vipaumbele vya JK ilikuwa ni kwenye Elimu na Afya ili kuweza kufungua mtanzania aweze kuziona raslimali zilizopo na aweze kuzitumia kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini.

Awamu ijayo ni kuimarisha miundo mbinu na utalii, na kuimarisha zaidi sekta ya viwanda na hivyo kuongeza ajira katika sekta rasmi na isiyo rasmi. Lakini pia kilimo kitaboreshwa na kuwa bora na cha kisasa zaidi.

Nakusihi ewe mtanzania mwenzangu, usichezee kura yako kwa kuipoteza bure!! Mchague Kikwete ndiye mkombozi wetu, na mtetezi wa wanyonge.
na huu ni uhalisia , mzee anakula matunda ya uhuru, hajui kwanini Tanzania ni maskini, wakati yeye na Salma wanakodoa macho koodo,
11_09_hmaerh.jpg
 
Ndugu watanzania wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yetu, wote tunatambua kazi nzuri aliyo ifanya Rais wetu kipenzi JK ndani ya miaka mitano yake ya uongozi. Ni ukweli usiopingika hasa kwa watu wote wenye akili timamu za watu wenye uwezo wa kupambanua mambo kuwa JK ameacha alama nyingi za kudumu hapa nchini na hamna mtu atakayeweza kuzifuta.
Heshima ya nchi yetu imezidi kujionesha kitaifa na kimataifa, Hakuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania. Rais Bush na Obama ni mashahidi wa hili.
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Viva kikwete, nenda mwanakwetu wanao tuko nyuma yako.
May your star keep on shinning................. Bravo, bravo, bravo, .... Aluta continua..............
Happy Birthay baba yetu, Tanzanians loves you and we are all behind you dont give up!!
May God bless you and God bless Tanzania!!

KANGARA sio pombe nzuri manake nadhani umeamka na hang over.
Bush na Obama wako wote hawana mpango labda mlioko nje ya US ndio mnawababaikia.
Kwa hiyo siku rais wa marekani akijakaa bongo wiki nzima basi ndio maendeleo? what kind of parameter is this?
Kama JK ni mchukia ufisadi basi mbona hata kuitaja EPA anaogopa kwenye kampeni zake?
Kwa nini alimnadi Chenge, Masha, Mramba na Rostam na Lowassa?
Shule kama utitiri bila walimu wala madawati maana yake ni nini?
Na hicho CHOOO KIKUU cha Dodoma ndio umeona ndio elimu?
Sio kila mtu ni mjinga kiasi hicho.
Nchi inaendeshwa uswahiliuswahili kama kijiwe cha pale Saigoni!
Bunge la wafungwa-Rage na waganga wa kienyeji-Prof.
Tutafika kweli? Acha kunywa kangara mkuu
 
na huu ni uhalisia , mzee anakula matunda ya uhuru, hajui kwanini Tanzania ni maskini, wakati yeye na Salma wanakodoa macho koodo,
11_09_hmaerh.jpg

No comment at the moment. Lakini tarehe 01/11/2010 Raisi wetu ni Dr Slaa.
 
na huu ni uhalisia , mzee anakula matunda ya uhuru, hajui kwanini Tanzania ni maskini, wakati yeye na Salma wanakodoa macho koodo,
11_09_hmaerh.jpg

Hivi kale kaugonjwa kanako mpataga na kuanguka kangempata huko kwenye bembea ingekuwaje?. Mimi nauliza tu wazee samahani.
 
Ndugu watanzania wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yetu, wote tunatambua kazi nzuri aliyo ifanya Rais wetu kipenzi JK ndani ya miaka mitano yake ya uongozi. Ni ukweli usiopingika hasa kwa watu wote wenye akili timamu za watu wenye uwezo wa kupambanua mambo kuwa JK ameacha alama nyingi za kudumu hapa nchini na hamna mtu atakayeweza kuzifuta.
umenena vyema kabisa. moja ya alamu kuu ambazo hazitafutika milele ni kuukumbatia UFISADI kwa gharama yoyote ile pamoja na kuwa kiongozi anayedanganywa na wasaidizi wake kuliko woote
Heshima ya nchi yetu imezidi kujionesha kitaifa na kimataifa, Hakuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania. Rais Bush na Obama ni mashahidi wa hili.
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Eti????? nani alimchagulia hao wasaidizi? na katiba inasemaje kuhusu hilo? ulitaka tumsaidie kuchagua wasaidizi?
Viva kikwete, nenda mwanakwetu wanao tuko nyuma yako.
May your star keep on shinning................. Bravo, bravo, bravo, .... Aluta continua..............
Happy Birthay baba yetu, Tanzanians loves you and we are all behind you dont give up!!
May God bless you and God bless Tanzania!!
He is a gonner na HATUMTAKI.
yeyote anayemkubali KIKWETE siyo mzalendo
 
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex, Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Good point Discoverer! Ila tu labda urekebishe kichwa cha habari hapo juu. Mimi sikubaliani 100% na sera za CCM/Kikwete, but I don't think hilo linanifanya mimi kutokuwa mzalendo. P.S. Inabidi watanzania tufike sehemu tujifunze kutoa credit where credit is due.
 
Good point Discoverer! Ila tu labda urekebishe kichwa cha habari hapo juu. Mimi sikubaliani 100% na sera za CCM/Kikwete, but I don't think hilo linanifanya mimi kutokuwa mzalendo. P.S. Inabidi watanzania tufike sehemu tujifunze kutoa credit where credit is due.

Credit gani unaongelea hapa?
Haya mambo ya generalization yanakuangusha kijana.
 
Duh hii kiboko yao... nimecheka sana kuona bango la CCM nyuma ya huyu mzee mwenye ari na nguvu mpya akienda kwa kasi mpya.. hadanganyiki huyo udenda unamtoka kwa njaa ..
 
yangu macho maana watoto wote wanaokulakeki yao kupitia chama cha mapinduzi kupitia kwa uncler wak baba mama hawaelewi nini umuhimu wa changes!!!
 
baba wa familia kununua kilo ya nyama kwa familia yake si jambo la kujisifu, pia hafai kusifiwa na yeyote, akitokea mtu au watu wakamsifu ni wazi kuwa huyo au hao ndiyo waliomuuzia hiyo kilo ya nyama, kwani baba kulisha familia ni wajibu.
kikwete kanunua kilo ya nyama kwa familia yake na kwa bei kubwa mno kiasi kwamba ni vema kumshitaki kwa kufuja fedha za familia.
Bush kukaa siku kadhaa wakati dhahabu yetu inaondoka kupitia kiini macho cha vyandarua ndiko kununua kilo ya nyama kwa bei mbaya na huku ukililia kusifiwa. amepeleka ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa ujengwe bagamoyo, bandari bagamoyo, BAGAMOYO NI KWAO KIKWETE, wewe unamsifu kwa lipi? tumng"oe ikulu:decision:
 
Back
Top Bottom