Discoverer
Member
- Jul 16, 2009
- 58
- 12
Ndugu watanzania wazalendo na wapenda maendeleo ya nchi yetu, wote tunatambua kazi nzuri aliyo ifanya Rais wetu kipenzi JK ndani ya miaka mitano yake ya uongozi. Ni ukweli usiopingika hasa kwa watu wote wenye akili timamu za watu wenye uwezo wa kupambanua mambo kuwa JK ameacha alama nyingi za kudumu hapa nchini na hamna mtu atakayeweza kuzifuta.
Heshima ya nchi yetu imezidi kujionesha kitaifa na kimataifa, Hakuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania. Rais Bush na Obama ni mashahidi wa hili.
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Viva kikwete, nenda mwanakwetu wanao tuko nyuma yako.
May your star keep on shinning................. Bravo, bravo, bravo, .... Aluta continua..............
Happy Birthay baba yetu, Tanzanians loves you and we are all behind you dont give up!!
May God bless you and God bless Tanzania!!
Heshima ya nchi yetu imezidi kujionesha kitaifa na kimataifa, Hakuna nchi africa ambayo rais wa marekani amekaa kwa muda mrefu katika ziara zake kama tanzania. Rais Bush na Obama ni mashahidi wa hili.
Alitoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya wananchi kujikwamua kiuchumi na wote tu mashahidi wa hili. Shule za kata kila kona, chuo kikuu cha dodoma, machinga complex,Kigamboni new City, amewashughulikia mafisadi wa EPA, mpinga ufisadi, mchukia rushwa, mtu wa watu.
Tatizo lililojitokeza ni baadhi ya wasaidizi wake wamekuwa sio wazuri na hilo litashughulikiwa ipaswavyo miaka mitano ijayo.
Viva kikwete, nenda mwanakwetu wanao tuko nyuma yako.
May your star keep on shinning................. Bravo, bravo, bravo, .... Aluta continua..............
Happy Birthay baba yetu, Tanzanians loves you and we are all behind you dont give up!!
May God bless you and God bless Tanzania!!