Starehe Kitandani
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 676
- 342
iST kwenye high way, inatakiwa usiwe speed sana, gari ni nyepesi na kuhama barabarani ukiwa speed ni rahisi sana, kama huna uzoefu tafuta dereva..... Lala salama kamanda
iST kwenye high way, inatakiwa usiwe speed sana, gari ni nyepesi na kuhama barabarani ukiwa speed ni rahisi sana, kama huna uzoefu tafuta dereva..... Lala salama kamanda
Mwaka 2016 nilikua namuona kibaha huyu broh kipindi hicho alikua na nyota mbili alikua nandinga moja laheshima sana ukizngatia najinsi alivyopanda hewani hakika alikua namwonekano wakikamanda na alikua mtu poa sana ..Ni mwanafunzi wangu kwa miaka minne. Nimepata huzuni kubwa. Alikua kijana mwenye nishamu sana. Really tears.
Nimekumbuka uliwahi niambia jinsi unavyolipenda jeshiJamani. Ninavyoumia akipotea mwanajeshi Mungu pekee ndie anaejua.
Apumzike kwa amani
Izo gariii za IST kuna mda ua zinageuka bomberdia zna bebwa na upepo
Safi sana mkuu,je kwa ushauri wako nini kifanyike ili kuepesha au kupunguza hizi ajali.Vyao vikuu vya ajali
Miundombinu mibovu
Magari mabovu
Uchovu
Ugonjwa
Madereva wenzako
Spidi kali isiyodhibitika
Captain halafu unaenda masafa na kimkate ,... Daaah yaaniNimeona twitter ameshatambulika ni captain wa jwtz huko shinyanga
Dah! Jamani, madereva msio na uzoefu wa kutosha, epukeni kuendesha kwa mwendo mkali muwapo highway... Apumzike mahala pema peponi marehemu wetu!
Nishamu ndio nini nasi tuitafute....Ni mwanafunzi wangu kwa miaka minne. Nimepata huzuni kubwa. Alikua kijana mwenye nishamu sana. Really tears.
Kweli mzee kwa mana gari inatabia moja ..kama likiwa kwenye speed kali na jinsi ya kuli contro ni jinsi nyingine sana..gani ikiwa speed upepo unavyopambana na wewe kukutoa kwenye lami unaujuwa kabisa...kwenye lami ambayo inavibondebonde unajuwa hata kama tairi moja haina upepo sawa na nyingine unajuwa..vyuma vinasuguwana mpaka unahisi gari imekuwa nyepesi ...hayo yote yanatakiwa kuyajuwa kwa mana safari ndefu sio mchezo wazee skieni tu .. Mungu aileze roho ya marehemu mahala pema poponi AmeinDah! Jamani, madereva msio na uzoefu wa kutosha, epukeni kuendesha kwa mwendo mkali muwapo highway... Apumzike mahala pema peponi marehemu wetu!
Yeah. Napenda wanajeshiNimekumbuka uliwahi niambia jinsi unavyolipenda jeshi
huu uandishi ni kiboko ///mwiso///toka room kwangu.DOM/TR/RB/73/19 /// TAARIFA YA AWALI /// AJALI YA MAGARI MAWILI KUGONGANA NA KUSABABISHA KIFO /// MNAMO 28/07/19 SAA 05:00HRS HUKO KIJIJINI MANGAE BBARA YA MORO---IRINGA GARI NO. T 341 DMV TOYOTA IST LIKIENDESHWA NA CAPT. SAMWEL DISMAS LYIMO JWTZ, 37YRS, IKITOKEA MOROGORO UELEKEO IRINGA ILIGONGANA USO KWA USO NA GARI NO T 697 DMH/T 223 DMK SCANIA SEMITELA ILIYOBEBA MBAO IKITOKEA MAFINGA KUELEKEA DSM LIKIENDESHWA NA HUSSEIN S/O NYIKA MBENA 36YRS WA MAKAMBAKO NA KUSABABISHA KIFO CHA CAPT. SAMWEL DISMAS CHANZO NI MWENDO KASI WA GARI T 341 DMV TOYOTA IST NA KUHAMA BARABARA .TUKIO LIMEKAGULIWA NA INSP. SHABANI AKISAIDIWA NA D 6420 SGT ALLY /// TAARIFA KAMILI INAFUATA /// MWISHO /// TOKA POLISI K DOMA.