Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,019
- 12,518
Duh!Afu kwanza ni Kilimanjaro yupi?
Kilimanjaro express Arusha-Dar sijawahi ona gari namba A wala B
Duh!Afu kwanza ni Kilimanjaro yupi?
Kilimanjaro express Arusha-Dar sijawahi ona gari namba A wala B
Mabus ya Dar - Arusha huwa ni mazuri siku zote kwsbb hiyo route ina ushindani mkubwa sanaAfu kwanza ni Kilimanjaro yupi?
Kilimanjaro express Arusha-Dar sijawahi ona gari namba A wala B
Kwa Kilimanjaro Express hali ni tofauti kabisa kwa miaka hii ya karibuni, amefilisika lakini mmiliki ana ng'ang'ania kukomaa hivyo hivyo.Mabus ya Dar - Arusha huwa ni mazuri siku zote kwsbb hiyo route ina ushindani mkubwa sana
Ukiweka mabus mabovu hakuna abiria atapanda
Mimi nikiwa na akili timamu siwezi kupanda Kilimanjaro... Bora waniue.Hii kampuni niliizika Rasmi na kuachana nayo pindi Tu TAHMEED alivoanza Arusha>Dar,,Kilimanjaro wajanja wajanja wana jina kubwaa ila kazi hamnaaa.....BM kaja na operation maalum na amelikamata soko tayari Ni Muda wa Kimanjaro Exp kujitafakarii mwenzie Dar Express kasanuka kahamia kwa wachina
Jamaa ni bahili tu pesa anayo sana,anazo semi tipper zaidi ya 50..yeye ndio kasuppy kokoto za mwendokasi kariakoo to kimara..anamiliki crusher kubwa lugobaKwa Kilimanjaro Express hali ni tofauti kabisa kwa miaka hii ya karibuni, amefilisika lakini mmiliki ana ng'ang'ania kukomaa hivyo hivyo.
Kwa sasa Kilimanjaro Express 80% ya mabasi yake ni chakavu mnoo, ni mikangafu ya kubebea mkaa.
Ni loyalAna royal customers wengi wa kutosha Miaka mingi nikiwemo mimi
Kapande mengine mteja wa kuja wewe
Hujalazimishwa kuwa mteja wa Kilimanjaro