Nyamabano town
Member
- Jul 14, 2016
- 14
- 6
Habari zenu wapendwa hivi Kuna mwenye kujua new government salary scale zitakazo anza kutumika mwezi wa saba atujuze? Niwatakie kazi njema
Acha masihara kwenye vitu nyeti aseeAngalia mkuu mshahara tayar
Teh teh.tayar dada salt..au ww hewa?Acha masihara kwenye vitu nyeti asee
Hakuna mishahara mipyaaHabari zenu wapendwa hivi Kuna mwenye kujua new government salary scale zitakazo anza kutumika mwezi wa saba atujuze? Niwatakie kazi njema
Umenifanya nikope nipige tafu ili kucheki, sio fresh banaTeh teh.tayar dada salt..au ww hewa?
Mshahara tayari dadaUmenifanya nikope nipige tafu ili kucheki, sio fresh bana
Mshahara tayari dada
sijaelew, kwangu naona kuna hela ndefu imepungua.kesho inabidi niwahi nichek bank statementMie kwangu haujaingia, sijui nikakae kabisa juu ya stuli ndefu nisubiri utanikuta hapo!!!
Wewe unatumia EXIM pesa wameikopesha serikaliMie kwangu haujaingia, sijui nikakae kabisa juu ya stuli ndefu nisubiri utanikuta hapo!!!
Nkadhani nliacha salio kumbe ndo iliyoingiaWameongeza 3800!!!!!!!!