Anayejua utaratibu wa ununuzi wa Bondi za BoT

Anayejua utaratibu wa ununuzi wa Bondi za BoT

Nehemia Isaya

Member
Joined
Aug 6, 2021
Posts
8
Reaction score
4
Naomba msaada, utaratibu gani hutumika katika ununuzi wa Bondi za BoT na kiasi cha chini cha kununua Bondi ni Tsh. ngap na je ununuzi wa Bondi za BoT unaweza kupata faida kila mwezi?
 
Michongo mingi yenye hela hainaga wachangiaji sijui kwanini yaani....Mnaojua njooni basi!
 
BOT hawamo huku angalau watoe ufafanuzi wa hili jambo !!??
 
Mi niliendaga kuulizia, wakasema minimum number of bond certificates ni 100, na kila certificate inathamani ya 40,000.

Kwahiyo minimum unatakiwa ununue bond cert za thamani ya 4,000,000/=.

Mimi nilikua na milioni tisa na point hivi. Nikaja badili mawazo dakika za lala salama, hela yote nika-invest kwenye Cryptocurrency. ilikua 2018 hiyo.
 
Nenda kwenye bank yoyote hapa TZ, kama NBC, CRDB, NMB etc watakupa utaratibu mzima maana wao pia ni registered brokers. Kama upo kwenye /karibu ya majiji ya Dar, Arusha, Mbeya au Dom, fika ofisini kwao watakupa full maelezo
 
Mi niliendaga kuulizia, wakasema minimum number of bond certificates ni 100, na kila certificate inathamani ya 40,000.

Kwahiyo minimum unatakiwa ununue bond cert za thamani ya 4,000,000/=.

Mimi nilikua na milioni tisa na point hivi. Nikaja badili mawazo dakika za lala salama, hela yote nika-invest kwenye Cryptocurrency. ilikua 2018 hiyo.

Mkuu ungetoa darasa kidogo zaidi ya hapo, hasa kwny cryptocurrency. Kama hotojali, tangu uinvest huko huo mwaka hadi hii sasa, trend ipoje ama imeongezekaje?
 
Naomba msaada,utaratibu gani hutumika katika ununuzi wa Bondi za b.o.t na kiasi Cha chini Cha kununua Bondi ni sh ngap na je ununuzi wa Bondi za b.o.t unaweza kupata faida Kila mwezi?

Si uende BOT? Mbona unatuangaisha?
 
Back
Top Bottom