Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Nov 29, 2013 #1 Nina mpango nitembelee watoto yatima kuwafariji na vitu kama hivyo. Prefarably Tabata na maeneo yake ya karibu. Msaada tafadhali
Nina mpango nitembelee watoto yatima kuwafariji na vitu kama hivyo. Prefarably Tabata na maeneo yake ya karibu. Msaada tafadhali
B Bi. Mkora JF-Expert Member Oct 29, 2010 374 60 Nov 29, 2013 #4 Mungu akubariki kwa moyo wako huo wa kujitolea kutaka kuwaona yatima.