anayeijua Sengerema sec anjuze

Naomben mnfahamxhe kuhsu sengerema sec mazngra na taaluma kwa ujumla bla kusahau miundo mbinu ka maj na umeme

kaka angu alipita hapo last year ilikuwa fulu misala 2 walishapiganaga wanafunz na wanakjj kisa demu mali za wananch zikaaribiwa ikiwemo kung'oa geti
 
Unafahamu maana ya kujifunza kweli. Nijuavyo mimi waliokubali kukabiliana na matatizo mengi walipoweza kukabiliana nayo walifanikiwa vilivyo. Hata hivyo Sengerema ni shule nzuri usife moyo.
 
kaka angu alipita hapo last year ilikuwa fulu misala 2 walishapiganaga wanafunz na wanakjj kisa demu mali za wananch zikaaribiwa ikiwemo kung'oa geti

Loh huko ndiko kusoma kwa kaka yako, kwani na wewe unasoma kwa mtindo huo, halafu baadaye utasema waalimu hawahudhurii vipindi
 
kama ndo hvyo mbona bas mbona alfaulu sa hv yuko unversity acha kuropoka

Sasa kama ilikuwa nzuri akafaulu si ungemwambia tu kuwa ni nzuri sasa hiyo habari unayomdokeza alikuambia kuwa anaiweza mdogo wangu. wanadamu hawafafanani kila mtu anatembea kwa kile alichojaliwa yeye kama yeye binafsi. Habari ya kuropoka ni tafsiri tu ya makuzi yako
 
Sasa kama ilikuwa nzuri akafaulu si ungemwambia tu kuwa ni nzuri sasa hiyo habari unayomdokeza alikuambia kuwa anaiweza mdogo wangu. wanadamu hawafafanani kila mtu anatembea kwa kile alichojaliwa yeye kama yeye binafsi. Habari ya kuropoka ni tafsiri tu ya makuzi yako

hahahaha
unamtaftia mdogo wako details za sengerema acha kujipendekeza kwa mdogo wako
 
kwa muonekano wa nje ni bonge la shule ki tz inaweza ikawa top 3.
Matatizo yaliyopo ni
1. Migomo ya mara kwa mara
2. Ufaulu mbovu kwa miaka ya karibuni note: imekuwa ya mwisho kimkoa mwaka huu
3. Ina walimu wengi waliojiendeleza kutokea o levea most of them are partially
4. Viboko kwa saaana
5.vyoo vichache wanafunzi wengi
6. Maji ya bomba ni mgao so uje na ndoo ila kuna bwawa karibu

mengine ni kawaida kwa shule za tz ila miundo mbinu ka maabara vipo vya kutosha, shule ipo sengerema mjini karibu saana singa city
 
Kuna Lihed Master linano itwa mr.kahema.
daaaaah peaceful sana.


* lakini kumbuka mwaka jana mwanafunz alidanja kwasababu ya miundombinu mibovu ya vyoo.
***( inshortly)****
daaa ilikua ndo form six wa PCM wamebakiza mtihan mmoja.
mchiz kapiga pindi la kutosha, majira ya saa 10/11 arfajiri mchiz kaamka kufanya worm up, ili aingie kwenye paper akiwa fresh, baada ya hapo si akaenda toilet.
kama kawa mazoea yana tabu, umeme ulikua hauja washwa toiletini daaaah mkaka akaingia, kumbe wazibua vyoo wali kua wanefungua bampers kwenye vyoo sasa wakawa wame acha hivyo hivyo hawa kufunika baada ya kumaliza kuzibua.



----mkaka akaingia akijua nikawaida2 ka sikuzote kumbe bamper haipo bas kuingia ndo ikawa kuzama sawa na m2 anae ji2pia shimoni. daaaaah ndo ikawa R.I.P.
duuuuuh Inasikitisha Sana.
Ilifanya wnafunzi wa rise emotion. hali walishakua wame lalamika kuhusu tatizo hilo Kabla Halijatokea.
mgomo Ulikua Umesha Fanyika.
na Waka Be Suspended Nakurudi Shule Ilikua Uje Na Laki Moja. Daaa Majanga.
R.I.P NIGAR.
 
Back
Top Bottom