Ni shule nzuri tu . Waschana wako bweni lakini wavulana na baadhi ya waschana kidogo ni day. Perfomence yake kama unavyojuwa shule za serikali si juu sana kulinganisha na shule za masista eg Hollyfamily, Loretto , Musabe zote za jijini MwzHabari wakuu!
Katika ajira mbadala za WAALIMU, zilizo toka 27/4/2019.
Nime bahatika, baada ya KUSOTA Sana, na kwa mbinde SAAANA!
Yaani acha tu, mengine si ya kuweka online!
Naomba anaye IFAHAMU hata kwa kiasi ani SHAURI IN and OUT na kwa halmashauri in general jinsi muijuavyo MWANZA mm niko mikoani tu huku.
ASANTE
Sawa mkuu,Ni shule nzuri tu . Waschana wako bweni lakini wavulana na baadhi ya waschana kidogo ni day. Perfomence yake kama unavyojuwa shule za serikali si juu sana kulinganisha na shule za masista eg Hollyfamily, Loretto , Musabe zote za jijini Mwz
Shida ilioko pale ni maji kwa wanafunzi wa bweni. Changamoto zingine ni za kawaida. Pia usiwe na hofu japo ni pembeni kidogo na city centre lakini Buhongwa ni kituo kikubwa tu.Sawa mkuu,
Ntaenda, nashukuru kwa USHAURI
Mkuu nina kiwanja huko ukishakuwa tayar nikuuzie
Asante?Shida ilioko pale ni maji kwa wanafunzi wa bweni. Changamoto zingine ni za kawaida. Pia usiwe na hofu japo ni pembeni kidogo na city centre lakini Buhongwa ni kituo kikubwa tu.
Karibu ulitatue tatizo.Asante?
Ila wanapata shida ya MAJI wakati wako ziwan???
Karibu ulitatue tatizo.Asante?
Ila wanapata shida ya MAJI wakati wako ziwan???
Umempa dondoo nzuriBuhongwa sek iko wilaya ya nyamagana iko njia ya kwenda shinyanga ukitokea mjini,ni kilomita 15 tu kutoka mza mjini shule iko 0.5km kutoka barabara ya iendayo shinyanga,iko karibu na soko na buhongwa ambapo utapata kila aina ya vyakula na mbogamboga kwa bei ya wakulima kabisa,kwa kifupi umebahatika sana,pia kuna sehemu ya kula raha kidogo pale green park na rest africa ila km ww ni mpenzi wa guest za buku5 utateremka pale upendo guest karibu na wanaposimama matrific,changamoto ya buhongwa ni maji ila siyo lazima uishi kule unaeza ishi mkolani au mkuyuni na nyegezi mana nauli ni mia nne tu(400),kunae night club pale nyegez stend inaitwa kilimanjaro km ww ni mpnz wa take away(vigaroni),unakaribishwa NG'wanza.
Kipo sehem gani hicho kiwanjaMkuu nina kiwanja huko ukishakuwa tayar nikuuzie
Ok. CongratulationsHapana, mm BADO MBICHI....
Iko poa Karibu sanaHabari wakuu!
Katika ajira mbadala za WAALIMU, zilizo toka 27/4/2019.
Nime bahatika, baada ya KUSOTA Sana, na kwa mbinde SAAANA!
Yaani acha tu, mengine si ya kuweka online!
Naomba anaye IFAHAMU hata kwa kiasi ani SHAURI IN and OUT na kwa halmashauri in general jinsi muijuavyo MWANZA mm niko mikoani tu huku.
ASANTE
utakutana na kichwa kimoja kina chakaza physics biology hapo,mwalim Nkanga,msalimu sanaHabari wakuu!
Katika ajira mbadala za WAALIMU, zilizo toka 27/4/2019.
Nime bahatika, baada ya KUSOTA Sana, na kwa mbinde SAAANA!
Yaani acha tu, mengine si ya kuweka online!
Naomba anaye IFAHAMU hata kwa kiasi ani SHAURI IN and OUT na kwa halmashauri in general jinsi muijuavyo MWANZA mm niko mikoani tu huku.
ASANTE