Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
Nawashukuru member wote wa JF.
Nilipangwa ajira Mwanza, Bhuongwa sekondari 27/04/2019. Nika leta uzi humu kuwa anaye ifahamu Bhuongwa sekondari anisaidie....!
Nashukuru nimepata msaada wa kutosha kutoka humu JF kuanzia malazi, kula, nyumba ya kupanga n.k. Nipo Mwanza kwa sasa tangu 08/07/2019 baada ya kuwa nilisha ripoti 07/05/2019.
Karibuni nyote Mwanza
Napia tuendelee kushirikiana. JF member ni watu wema, nimeishi kwao na nime kutana na members hapa Mwanza wengi na wenfine wako mikoani, but tumekubalina wakija Mwanza tutaonana.
Na kwa aliyepo Mwanza tuwasiliane!
Tufahamiane. Asanteni sana kwa yote wote
Mada yenyewe hii hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...ari-buhongwa-jijini-mwanza-anishauri.1578544/
Nilipangwa ajira Mwanza, Bhuongwa sekondari 27/04/2019. Nika leta uzi humu kuwa anaye ifahamu Bhuongwa sekondari anisaidie....!
Nashukuru nimepata msaada wa kutosha kutoka humu JF kuanzia malazi, kula, nyumba ya kupanga n.k. Nipo Mwanza kwa sasa tangu 08/07/2019 baada ya kuwa nilisha ripoti 07/05/2019.
Karibuni nyote Mwanza
Napia tuendelee kushirikiana. JF member ni watu wema, nimeishi kwao na nime kutana na members hapa Mwanza wengi na wenfine wako mikoani, but tumekubalina wakija Mwanza tutaonana.
Na kwa aliyepo Mwanza tuwasiliane!
Tufahamiane. Asanteni sana kwa yote wote
Mada yenyewe hii hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...ari-buhongwa-jijini-mwanza-anishauri.1578544/