huyo ni Msomi wa chuo kikuu
Anaitwa Donath Sara na arikuwa makamu wa lais STEMMUCO.Ni katibu mkuu wa TAHLISO na ariingia kwenye mgogolo binafsi na mwenyekiti Amon Chakushemeile kwa kuwa arikuwa hamkubari na hata kwenye uchaguzi Zanzibar Donath arikuwa na kundi rake.
Mgogolo mkubwa ni masrahi kwani Amon ni kundi la Mwakyembe na Donath ni kundi la Lowassa.Tangu wamechaguliwa Donath amekuwa akifanya kasi kinafiki na Amon.
Uchu wa madaraka ndiyo iliyozaa mgogoro wote hadi kufikia Donath kumchafua Amon kwenye mitandao na kumuita raia wa Rwanda.
TAHLISO watapewa nafasi moja kwenye bunge la katiba sasa Donath anaitaka lakini kikatiba ni nafasi ya mwenyekiti hivyo ameona ampige zengwe la uraia ili nafasi hiyo apewe yeye kama katibu mkuu.
Kwa unafiki baada ya kumpiga zengwe hilo huyo huyo dogo akaja humu JF na kufungua akaunti mpya ili kumsafisha Amon.
Pia kuna safari ya kwenda China mwezi huu nalo limezidisha mgogolo baina yao.
Wengine hata hatuelewi TAHLISO ni nini,i.e mnyama,mdudu,political party,dhehebu,kitabu,chakula,mtu,timu,taasisi,etc. hebu fafanueni vzr ili tujue pa kuanzia kuchangia!