Anayehitaji line ya M-PESA H/O TILL ninayo

Anayehitaji line ya M-PESA H/O TILL ninayo

Biashara kichaa hizi..you need to be careful before embarking to it..

Tangazo ni kwa ajili ya wanaohitaji,hulazimishwi kuhitaji!!! Kila mtu ana uhuru wa kutsngaza biashara yake,huku sio jukwaa la chit chat!!
 
Habari wanabodi

Kwa wale wafanyabiashara ya mitandao hasa M-PESA nina line ya Head office Till (Wakala mkuu)inauzwa kwa anayehitaji anione au nitumie pm

Asanteni!!!!

Updates

Imebaki line moja kati ya mbili zilizokuwepo anayehitaji tuwasiliane haraka kabla hujachelewa!!!!!

Mkuu vip bado ipo?
 
Tangazo ni kwa ajili ya wanaohitaji,hulazimishwi kuhitaji!!! Kila mtu ana uhuru wa kutsngaza biashara yake,huku sio jukwaa la chit chat!!
kila mtu unataka aku-pm, ni biashara ya laini au mapenzi?
weka bei hadharani wa famba!!
 
Wekeni bei adharani ili kama sii wezi niachane nayoo
 
Habari wanabodi

Kwa wale wafanyabiashara ya mitandao hasa M-PESA nina line ya Head office Till (Wakala mkuu)inauzwa kwa anayehitaji anione au nitumie pm

Asanteni!!!!

Updates

Imebaki line moja kati ya mbili zilizokuwepo anayehitaji tuwasiliane haraka kabla hujachelewa!!!!!

mkuu naomba unipm bei na namba yako nichangamkie fursa
 
Back
Top Bottom