IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 802
Huwa nafanya safari za Mby -dar-mby kwa kutumia Gari Noah.
Safari hizi huanzia Mby MJINI/ au Uyole hadi Shekilango Dar. Hufanyika jioni, hivyo kuingia Mby au dar alfajili au asubuhi kabla ya SAA 4 asbh.
Niagize mzigo au parcel yoyote ya ukubwa wastani, nitakufikushia bila shaka, tayari watu wanafanya hivyo bila tatizo...Pia unaweza kusafiri mwenyewe na mizigo yako endapo una mzigo wa pesa ya kutosha, ni kama una kodi. Mfano juzi alhamis kutoka dar mteja mmoja alikuwa na mizigo yake akalipia gharama yangu 300,000 dar-mbeya akasafiri na vitu vyake safi kabisa. Karibu nawe, tusaidiane kukimbiza maisha!!
0687072066.
Safari hizi huanzia Mby MJINI/ au Uyole hadi Shekilango Dar. Hufanyika jioni, hivyo kuingia Mby au dar alfajili au asubuhi kabla ya SAA 4 asbh.
Niagize mzigo au parcel yoyote ya ukubwa wastani, nitakufikushia bila shaka, tayari watu wanafanya hivyo bila tatizo...Pia unaweza kusafiri mwenyewe na mizigo yako endapo una mzigo wa pesa ya kutosha, ni kama una kodi. Mfano juzi alhamis kutoka dar mteja mmoja alikuwa na mizigo yake akalipia gharama yangu 300,000 dar-mbeya akasafiri na vitu vyake safi kabisa. Karibu nawe, tusaidiane kukimbiza maisha!!
0687072066.