Hi,
Naomba msaada anaefanya kazi halmashauri yoyote hapa dar anae weza nisaidia nikapata nafasi ya kazi yaani kujitolea nijishikize tu.
Nimechoka haya maisha hamuwezi amini najua ila ukweli ni kwamba nimechoka sana natamani nipate msaada wowote akili imekuwa domat unakuwa na jambo unataka kulifanya huoni njia.
Au pia mtu mwenye anakampuni ya kupika sawa ipo tayari ukitoa njee ya taaluma yangu napenda pia maswala ya catering nitajibu pm nimefungua.
Naomba msaada anaefanya kazi halmashauri yoyote hapa dar anae weza nisaidia nikapata nafasi ya kazi yaani kujitolea nijishikize tu.
Nimechoka haya maisha hamuwezi amini najua ila ukweli ni kwamba nimechoka sana natamani nipate msaada wowote akili imekuwa domat unakuwa na jambo unataka kulifanya huoni njia.
Au pia mtu mwenye anakampuni ya kupika sawa ipo tayari ukitoa njee ya taaluma yangu napenda pia maswala ya catering nitajibu pm nimefungua.