Anayefahamu vizuri hii degree ya microbiology na chemistry anijuze

OK nashukuru na kama maabala VP aliyesoma medical lab kunautofaut gani na mm
Medical lab imegawanyika mafungu haya
1.Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)
2.BMLS Haematology and Blood Transfusion
3.BMLS Parasitology and Medical Entomology
4.BMLS Clinical Chemistry
5.BMLS Histotechnology

Ambapo kazi yao inakuwa kwenye maabara za Mahospital.

Na wewe pia unaweza kuwa kwenye mahospital

Utofauti ebu angalia kwa huo muainisho wa kozi za Medical lab.
 
Medical lab imegawanyika mafungu haya
1. Medical lab in Parasitology
2. Medical lab General
3. Medical lab in Microbiology and Immunology
4. Medical lab in Biochemistry

Ambapo kazi yao inakuwa kwenye maabara za Mahospital.

Na wewe pia unaweza kuwa kwenye mahospital

Utofauti ebu angalia kwa huo muainisho wa kozi za Medical lab.
Mgawanyiko huu umeupata wapi mkuu??
 
Medical lab imegawanyika mafungu haya
1. Medical lab in Parasitology
2. Medical lab General
3. Medical lab in Microbiology and Immunology
4. Medical lab in Biochemistry

Ambapo kazi yao inakuwa kwenye maabara za Mahospital.

Na wewe pia unaweza kuwa kwenye mahospital

Utofauti ebu angalia kwa huo muainisho wa kozi za Medical lab.
Anaweza kufanya kazi Maabara ila sio maabara za hospital..
Sana watu hawa huwa wanafanya kazi Maabara kama zile za viwandani n.k
 
Mgawanyiko huu umeupata wapi mkuu??
Nilikosea mkuu, mgawanyo sahihi huu hapa.

-Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)
-BMLS Haematology and Blood Transfusion
-BMLS Parasitology and Medical Entomology
-BMLS Clinical Chemistry
-BMLS Histotechnology

Source: MUHAS undergraduate progrmmes
 
Nilikosea mkuu, mgawanyo sahihi huu hapa.

-Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)
-BMLS Haematology and Blood Transfusion
-BMLS Parasitology and Medical Entomology
-BMLS Clinical Chemistry
-BMLS Histotechnology

Source: MUHAS undergraduate progrmmes
MLS hiyo ni general kwahivyo hizo ulotaja chini zote hapo zinaingia katika MLS ndio maana hata ukiangalia hao Muhimbili wameweka - IN - hizo ni specialization parts za MLS pamoja na Microbiology and Immunology ambayo haipo hapo katika ulozitaja
 
MLS hiyo ni general kwahivyo hizo ulotaja chini zote hapo zinaingia katika MLS ndio maana hata ukiangalia hao Muhimbili wameweka - IN - hizo ni specialization parts za MLS pamoja na Microbiology and Immunology ambayo haipo hapo katika ulozitaja

Hii nilikuwa naikumbuka toka mwanzo ila nilipoenda kuzicopy zile, nikasahau kama ilikosekana.

Uko sahihi mkuu jinsi ulivyofafanua.

Sasa kuhusu mleta mada kuuliza kuhusu Bachelor ya Microbiology unaweza kuifafanua kidogo ili tuweze kumsaidia kufanya maamuzi sahihi.
 
Unaweza fanya kwenye quality control labs kama za TFDA na TBS

Unaweza fanya kwenye maabara za viwanda vinavyotengeneza bidhaa ambazo microbial contamination ni critical attribute kwenye ubora,usalama na ufanisi

Kiufupi microbiology sio mbaya kwa kweli.
 
Hii nilikuwa naikumbuka toka mwanzo ila nilipoenda kuzicopy zile, nikasahau kama ilikosekana.

Uko sahihi mkuu jinsi ulivyofafanua.

Sasa kuhusu mleta mada kuuliza kuhusu Bachelor ya Microbiology unaweza kuifafanua kidogo ili tuweze kumsaidia kufanya maamuzi sahihi.
Hii ni moja ya course nzuri sana pia ina sehem nyingi za kufanya kazi kusoma kwake haina tofauti sana na Medical microbiology parts wanazosoma ndio hizo hizo Bacteriology, Virology, Mycology, immunology na pia parasitology..
Mi si mjuzi sana wa hii mi naelewa sana Medical microbiology mwenye nyongeza ruhsa kunikosoa au kuongeza.
 
Hii ni moja ya course nzuri sana pia ina sehem nyingi za kufanya kazi kusoma kwake haina tofauti sana na Medical microbiology parts wanazosoma ndio hizo hizo Bacteriology, Virology, Mycology, immunology na pia parasitology..
Mi si mjuzi sana wa hii mi naelewa sana Medical microbiology mwenye nyongeza ruhsa kunikosoa au kuongeza.
Jamii forum ingekuwa na asilimia kubwa ya watu constructive and generous kama Mwifa Said & remedy 50,ingekuwa na msaada sana kwa wengi.Big up Brodaaa
 
Kusoma kwa kutegemea kuajiriwa ni kujipa stress tu bila sababu.

Mimi wakati mwingine nakuwa nafikiria kwamba,kuliko kwenda kupoteza miaka yako mingi university(kwa baadhi ya kozi) na kujiweka kwenye list ya wadaiwa sugu wa loan board, ni afadhali kwenda veta ukachukua certificate itakayokuwezesha kuishi hapa mjini! Hakuna kudaiwa na heslb wala kuhangaika na vibahasha barabarani ukitafuta ajira.
 
Back
Top Bottom