Betri ni ya Sundar pia ningependa kujifunza toka kwako ni tv ya inch ngapi na ni kwa masaa magapi unaweza kuangalia tv?Natumia tv hata pasi ya kunyoosha nguo.
Panel watt 100
Battery 75
Mkuu Sundar wana bidhaa kawaida kama watu wengine walivyotangulia kusema hapo.Naomba kwa yeyote aliyetumia vifa vya Sundar kama Solar panel,betri za solar,tv za solar, anifahamishe ubora wake .Nina mpango wa kununua vifaa vya solar kwa matumizi ya nyumba yangu kijijini ambako umeme wa tanesco haujafika,kwani naona vifaa vya Sundar vimesambaa kila mahali .
Mkuu Sundar wana bidhaa kawaida kama watu wengine walivyotangulia kusema hapo.
Solar panel, battery na vitu vingine vinavyohusu mfumo wa umeme wa jua vipo vyenye ubora mzuri na vinavyodumu na vinapatikana kwa wakati(inategemea mfuko wako tu)
Kuna kampuni zinatengeneza battery kama Rittar, Deka, Chloride Exide, Surette, BAE n.k.
Kuna kampuni zinatengeneza Solar panel km Oceanic, Ying Li n.k
Kuna inveta za kampuni kama Magnum, Victron, Xantrex n.k
Kuna kampuni zinauza bulb km Phocos, Bramax n.k.
Ni mfuko ndio unaamua unataka mfumo wa umeme wa solar utakaodumu mda gani.
Asante
Kiasi gani hii?Can I interest you na bidhaa kutoka dlight?
Kwa ulivyotaja kuhusu TV nafikiri itakufaa package ya dlight X2000.
Katika package hii utapata TV, redio ndogo, tochi ndogo yenye uwezo wa kumulika umbali wa viwanja vitano vya mpira, utapata taa za muundo wa bulb nne, utapata na taa moja ya muundo wa tube light.
Taa hazivunjiki.
Unaweza kukadiria mwanga unaoutaka.
Unapata na warranty kwa hii bidhaa utakayonunua.
Unapata panel na contorl box ya kuwasha na kuzima mtambo mzima.
Taa zake zina waya ambao una sehemu za kuweza kuunga taa zingine. Namaanisha kwamba, taa itatakiwa kuchomekwa kwenye control box, lakini ikatokea unataka kuongeza taa badala ya kuchomeka kwenye control box unaweza kuchomeka katika sehemu maalumu ya taa nyingine.
Isipokua hii taa uliyochomeka katika taa nyingine itakua controlled na hii taa kuu ambayo imechomekwa kwenye control box.
Sijajua eneo ulilopo ila kama utakua eneo zuri unaweza kulipia kidogo kidogo.
Mzee hapa imekutoka kama kiasi gani, na je huu mzigo unasukuma nyumba nzima, kuangalia tv, huku unapiga pasi, friji limewashwa.. unapandisha maji kwenye tanki, taa ziko on, feni hapo hapo etc.Nimesoma coment yako, ww ndio unajua solar vizuri. watu wabongelea rubish kabisaView attachment 1961453
View attachment 1961454
View attachment 1961455
View attachment 1961456
View attachment 1961457
View attachment 1961458
View attachment 1961459
View attachment 1961460
Proffesional tunatumia hivi vitu
makaveli10 cheki huu mkataba unatoa jibu la gharama.Naattach huu mkataba wa mauziano ili upate picha ya jinsi malipo yanavyokua.
Nimecrop chini kabisa ambako hua kunajazwa majina, sahihi na namba za simu kwa ajili ya privacy.
View attachment 1950392
Nina Battery la pro solar linapiga kazi balaa N100 natumia panel za sundar, ukinunua battery la pro solar hutojutia. Sema panel zao ndio ziko ghali sana.Tafuta pro solar atleast wako vizuri hasa kwenye bettery.
Ila ushauri wangu ni huu:-
Panel nunua sundar
Bettery nunua pro solar
Bettery charge controll nunua sundar
Hapo utatumia vizuri tu
Sundar shida yao ni bettery ni mbovu sana.
Kama hutojari nenda mobisol ambao sasa wanaitwa mysol kanunue mtambo wa kuanzia watt 80 kwenda juu (tsh 2000000+), usichukue mitambo ya chini ya watt 80, haipo vizuri.
Wakuu ninaswali nina battery N100 je' ninaweza kutumia Friji?
Suluisho ni AG energies tuu hao wengine wote changa la machoHao Zola na mobisol wanabidhaa ghali lakini sijui kama wanauza rejareja nadhani wanakufungia mfumo wao na unalipa kwa mwezi,mimi ningependelea kampuni zinazouza bidhaa iliyo bora na nafuu.
Mkuu sina friji ila nikipata uhakika kama nitaweza kutumia friji kwenye battery N100 ndio ninunue friji kama hiyo hapo. Kuhusu Solar zangu nina panel 2 za watt 80 kila moja jumla ni 160. Nisaidie.Kaka kuuliza swali la kiufundi bila kutoa details maana yake unataka tuague au tupige ramli ndio tukupe jibu.
Ilo fridge lako sisi tunalijua?
Unataka lifanye kazi masaa mangapi sisi tutajuaje?
Kindly provide supportive information
Mkuu sina friji ila nikipata uhakika kama nitaweza kutumia friji kwenye battery N100 ndio ninunue friji kama hiyo hapo. Kuhusu Solar zangu nina panel 2 za watt 80 kila moja jumla ni 160. Nisaidie.View attachment 2023222
Nilinunua Solar Panel ya Sundar, Nimepewa Warranty Miaka 25, Hivi hapa Nasubiri nione kama itafika Mwaka 2044
Nashukuru kwa ushauri wenu kwa sasa ninaburudika,nilinunua betri ya sola aina ya RITAR 80 Ah ya Vietnam na Panel ya BP SOLAR(niliuziwa na rafiki yangu,iliyotumika miaka10)140watt. TV ya chogo masaa 4,taa 4 @ 1watt,kuchaji Smartphone 3 bado moto haujaisha.Sasa nina mpango wa kununua Flat Screen Tv kupunguza mzigo hasa siku ambayo jua halikuwaka vizuri asante kwa cyber ghostNatumia tv hata pasi ya kunyoosha nguo.
Panel watt 100
Battery 75
Mkuu Mondela salam kwako. Naomba kujua hizo Pro solar ni Dry au wet Batteries? Mkuu samahani, Je matumizi yako yanajumuisha nini mfano Tv, Taa ngapi nk.Nina Battery la pro solar linapiga kazi balaa N100 natumia panel za sundar, ukinunua battery la pro solar hutojutia. Sema panel zao ndio ziko ghali sana.
Betr mkuu zipo?Nicheck nikupe betri na solar panel zake znazotumika kwenye minara achana na mavitu ya kichina hayo masundar sjui Zola sjui mobisol hamna kitu utauziwa Kwa mikopo kitu kidogo mil 2 na ufanisi wake ni kawaida Sana.
Njoo PM