Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 230
Naomba yeyote mwenye uelewa anissaidie kunako hili.
Je Tablet pc program zake zinafanana na pcnyingine kama laptop na desktop? Pia hizi tablet zinafaa kwa matumizi yapi zaidi?
Msaada tafadhali bandugu.
Je Tablet pc program zake zinafanana na pcnyingine kama laptop na desktop? Pia hizi tablet zinafaa kwa matumizi yapi zaidi?
Msaada tafadhali bandugu.