Anayefahamu App ya kuvuta sauti anisaidie

Anayefahamu App ya kuvuta sauti anisaidie

Kibwetelo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2018
Posts
732
Reaction score
602
Habari wakuu,

Kama kichwa kinavyoeleza naomba msaada kwa yeyote anayeijua App ya kuvuta sauti kwa mfano upo kwenye mkutano mwishoni na hakuna spika yaani mkutano hawatumii redio, so we ukifungua hio App inavuta sauti na utaisikia vizuri.

Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom