EMT, I want it. Is it still available for sale?
Ndio, nahitaji. Kwani alikua na moja peke yake?unahitaji?
Keshaniuzia, nikuuzie wewe?
Matumisi yake? just friendship, unacheza nae,Naomba kujua matumizi yake maana manyoya yake yamenivutia.
Matumisi yake? just friendship, unacheza nae,
ukiwa nyumbani anakupa company etc.
Hata mimi hiyo fur yake ndio imenivutia!
Ah, mi siwezi kuazima bwana. Ni companion wangu mimi nikuazime tena?mnunue nitakuwa nakuazima siku moja moja.
Kwa nini umpake mbwa uupupu jamani? that is cruel!iweke uupupu au pilipili ndio uwauzie ili wakiingiza kule wakome
EMT, I want it. Is it still available for sale?
Mbona unaguna Nyani Ngabu? Hupendi mbwa?Hmmmmm.....
shost umeona? kazuri eeeh chukuaKhaaaaaaaa!