Vipi kwani? Umeipenda?
Kuna jukwaa la kikubwa kule wapo wanunuzi hebu peleka kule haraka kabla cjakathirika
Hapana..nashangaa tu umeitoa wapi na nini kimekufanya uiweke hapa. Wewe umeipenda?
Ni nani sasa kama sio mbwa?
Kinarukia nini?
Anauzwa. Bei ni maelewano. Kama una swali lolote uliza. Wahi, yuko mmoja tuu.
Vipi kwani? Umeipenda?
Mpaka kaulizia basi kaipenda huyo.Wee mpe tu.
Mbona unani-mix mix ..!!nn hko?
Nzuri unaanzia sh.ngapi?