1. Kuhusu kuzuia mdogo wake asiingie chumbani, huna sababu ya kukataa. Mwambie amwambie yeye mwenyewe. Wewe usihusike.
2. Acha kuongozana na mdogo wake. Kila mtu aondoke kivyake. Hilo pia linakushinda?
3. Acha mawasiliano ya karibu na mdogo wake. Kushika shika simu ya mdogo wake ya nini? Kufuatilia mazungumzo yao ya nini? Kua mwanaume, fanya yako.
4. Wanawake ni territorial na hawamuamini mwanamke mwingine yoyote kua karibu na mume wake na wanajua kwamba wanaume ni washenzi hawachukui muda kuwatafuna hao wanawake. Hivyo ana haki ya kujilinda dhidi ya mdogo wake.
5. Muombee mdogo wa mke wako sehemu ya kulala, kama unaishi na majirani vizuri huwezi kukosa jirani ambae ana nyumba yenye nafasi ukamuombea dogo mahala pa kulala mkapunguza misuguano.
6. Unaonekana uko interested na dogo, basi mpangie mtaa mwingine ili umchakate bila kipingamizi.
7. Endelea kupambana mkuu, one day utamiliki nyumba kubwa, yenye nafasi na utakaribisha wageni zaidi nyumbani kwako. Unaonekana una roho nzuri ya kibinadamu.