hayo ni maisha yangu aisee, nna mpango wa kumtafuta mwandishi aniandikie kitabu mana hata nikiwaambia wakina ray wa act muv itakua hadi part 10, ni ful visa yan.... ila nimeshamriport every wher, so chochote kitakachotokea atajulikana ni yeykamsemee kwa baba ake ili amrudishe tena jela....
ila belie unastory tamu buana...
anatumia no mpya kila siku, nilitaka niende nikamblock kweny mtandao anaotumia nmeshndwa coz no anazotumia sio zake, na siwezi kubadilisha no coz nina mambo na watu wa muhim sana katika namba yang na kazi nnayofanya hainiruhusu kubadilisha no kila wakat, so nilichofanya nmemreport tu kwamba chochote kitakacho nitokea ni juu yakejitahidi kadri uwezavyo kutokuwa na mawasiliano kama vp badili namba, hata ukiwa nae bado ni tatizo maana ni mgonjwa huyo utakuwa umejipeleka machinjioni