Anatishia kuniua kisa ananipenda

Anatishia kuniua kisa ananipenda

Haaa mie mwenyewe kauzu ukija kutoa tongozo kwanza nakukodolea mimacho badala mie nione aibu wewe ndo utaona haya
Huwaga sina aibu kama namtaka mtu ww mwnyw ungenipa tu....ningekupiga sumu kali hutoki
 
BELLE,
uandishi na stori yako unaonesha ww bado ni mdogo. pambana nahilo makubwa bado yaja
 
Aiseeee

katoe taarifa Polisi

Hiyo ni obsession ambayo ni hatari sana kwa afya na uhai.
 
Pole sana huyo hafai na anaweza kukuua kweli.

Where do people make research of what human beings are capable of doing?? Kila kitu wanaanza kujaribu panya kwanza, hata zile dawa za maangamizi.
 
kaah! pole mdada sasa vipi ukimwambia mchumba ako kuhusu hilo suala ye anakuajibuje?
 
Kumbe anakutisha tu? Hata akifanya kwel, u won't be the first. In fact no body knows atakufa lin, saa ngapi na kwa nin? Only God knows. Sa ww wasiwasi wako nin? Anyway ni mawazo yangu
 
imeniuma sana kama umenifanyia Mimi vile hata kama humpendi MTU usinge fanya vile ona mwenzio.anakosa wanawake kwaajili yako mkubalie sasa
 
sasa familia yake imeshakupa jibu kuwa ni mgonjwa wa akili.... we kaa mbali nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom