Anataka turudiane

Anataka turudiane

Wanandugu nimerudi tena, nipeni ushauri kuhusu jambo hili. Miezi minne nyuma nilikua na mpenzi niliyempenda sana mpaka kufikia nikajitoa kila hali ili awe na furaha. Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama a geni fanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na mwana flani msanii hapa kitaa, ilikua siri mpaka nikastukia mchongo. Nilicho fanya mimi ni kusitisha mahusiano nae japo nilipata tabu sababu nilimpenda sana ila ikafikia kipindi nikazoea, sasa tangia wiki hii ianze amekuwa akiniandama sana ananitumia wajumbe nisamehe anaomba turudiane, mpaka kufikia jana kajitokeza mbele yangu anataka tuzungumze ila nimemkwepa alaf cha zaid anaimba ya mshkaji. Amemuambia yule mjumbe yupo tayari hata kuflash mimba ili turudiane
Mrudie mpasue kwa lulenge na wewe muache kimchepuko
 
Wanandugu nimerudi tena, nipeni ushauri kuhusu jambo hili. Miezi minne nyuma nilikua na mpenzi niliyempenda sana mpaka kufikia nikajitoa kila hali ili awe na furaha. Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama a geni fanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na mwana flani msanii hapa kitaa, ilikua siri mpaka nikastukia mchongo. Nilicho fanya mimi ni kusitisha mahusiano nae japo nilipata tabu sababu nilimpenda sana ila ikafikia kipindi nikazoea, sasa tangia wiki hii ianze amekuwa akiniandama sana ananitumia wajumbe nisamehe anaomba turudiane, mpaka kufikia jana kajitokeza mbele yangu anataka tuzungumze ila nimemkwepa alaf cha zaid anaimba ya mshkaji. Amemuambia yule mjumbe yupo tayari hata kuflash mimba ili turudiane
Kuna namna umejiweka ndio inayompa faraja kwamba akikushinikiza sana mwishowe utakubali tu ombi lake. Hivi kama mimi hivi mtu anaanzaje kupata wazo la kutaka turudiane?. Anakuwa amesahau nini yaani?
 
MTU anapokuja kuomba ushauri bac kuna kitu ambacho amewaza ila anahitaji kujua kama yupo sahihi ama lah,

HAKUNA KITU KINALETA RAHA KAMA KUMUONA EX WAKO AKIWA ANANYONYOKA
Hapana si vizuri kufurahia anguko la binadamu mwenzako. Cha kufurahia ni kujua yale uliyopaswa kujua lakini yeye alikuwa anakuficha.
 
Katika mahusiano yangu na maisha yangu kitu nilichoshindwa ni Kurudiana na ex wanguu siweziii siwezii..
 
Waislamu tulifanya kosa kubwa sana kumpa Nyerere kiti cha Uraisi.

Akatugeuka nakupandikiza mfumo Kristo (UKATOLIKI).

Akatudhulumu eneo ya kujenga chuo kikuu Cha Kiislamu Chang'ombe.

Akatupokonya eneo letu pale Tabora mjini (kuanzia TTC karibu na uhaziri mpaka kule Student Center, Library ya mkoa) na kuwapa kanisa Katoliki.

Akazuia waislamu kwenda kusoma nje, wakawa wanaenda Wakristo pekee.

Akazuia Tanzania kujiunga OIC.

Qmamae zake.
We ni kiazi kabisa
 
Wanandugu nimerudi tena, nipeni ushauri kuhusu jambo hili. Miezi minne nyuma nilikua na mpenzi niliyempenda sana mpaka kufikia nikajitoa kila hali ili awe na furaha. Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama a geni fanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na mwana flani msanii hapa kitaa, ilikua siri mpaka nikastukia mchongo. Nilicho fanya mimi ni kusitisha mahusiano nae japo nilipata tabu sababu nilimpenda sana ila ikafikia kipindi nikazoea, sasa tangia wiki hii ianze amekuwa akiniandama sana ananitumia wajumbe nisamehe anaomba turudiane, mpaka kufikia jana kajitokeza mbele yangu anataka tuzungumze ila nimemkwepa alaf cha zaid anaimba ya mshkaji. Amemuambia yule mjumbe yupo tayari hata kuflash mimba ili turudiane
Mwanamke yeyote anayeweza kutoa mimba huyo sio mke achana naye
 
Waislamu tulifanya kosa kubwa sana kumpa Nyerere kiti cha Uraisi.

Akatugeuka nakupandikiza mfumo Kristo (UKATOLIKI).

Akatudhulumu eneo ya kujenga chuo kikuu Cha Kiislamu Chang'ombe.

Akatupokonya eneo letu pale Tabora mjini (kuanzia TTC karibu na uhaziri mpaka kule Student Center, Library ya mkoa) na kuwapa kanisa Katoliki.

Akazuia waislamu kwenda kusoma nje, wakawa wanaenda Wakristo pekee.

Akazuia Tanzania kujiunga OIC.

Qmamae zake.
Huo upuuzi wako unaoeneza unasaidia nini
 
Hapo wewe endelea tu na maisha yako acha aishi ya kwake. Hata ukisema umpe nafasi nyingine hakutakuwa na furaha sababu imani yako kwake imepungua kama sio kuisha.

Utajikuta unaishi maisha yako kumchunguza tu kama kweli kabadilika, siku atakosea kosa dogo ila utajikuta unaoverreact cause ndio hivyo tena mnaishi maisha ya kutoaminiana bali kuviziana.
Siku utakapoamua sasa basi tayari ushapoteza muda mwingine so fanya maisha aisee. Hakuna win win situation hapo unless u move on.
 
Ukiona ivyo ujue uyo msanii choka mbaya ila nimegundua bado unampenda cha msingi fwata moyo wako
 
Ni utoto tu..

Ndio maana wanawake wanataka usawa.....kama kidume unashindwa kuamua jambo kama hili..

Achana na huyo mwanamke,,,atakuua na presha maana hujui unachokitaka bado.
 
Wanandugu nimerudi tena, nipeni ushauri kuhusu jambo hili. Miezi minne nyuma nilikuwa na mpenzi niliyempenda sana mpaka kufikia nikajitoa kila hali ili awe na furaha.

Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama angenifanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na mwana fulani msanii hapa kitaa, ilikuwa siri mpaka nikastukia mchongo. Nilichofanya mimi ni kusitisha mahusiano nae japo nilipata tabu sababu nilimpenda sana ila ikafikia kipindi nikazoea, sasa tangia wiki hii ianze amekuwa akiniandama sana ananitumia wajumbe nisamehe anaomba turudiane.

Mpaka kufikia jana kajitokeza mbele yangu anataka tuzungumze ila nimemkwepa halafu cha zaidi ana mimba ya mshkaji. Amemuambia yule mjumbe yupo tayari hata kuflash mimba ili turudiane.
Mwanamke yeyote anayeweza kutoa mimba huyo sio mwanamke anayefsa kuwa mke chapa amsha hakuna mke hapo, maana ukimwoa akapata lijamaa lingine haoni shida kukuua wewe ili awe na jamaa
 
A
Amka usingizini wewe,acha kuweweseka.Ujinga wa aina hiyo Waislamu mtauacha lini??.Hivi kipindi cha Nyerere hakuna Waislamu waliokwenda nje kusoma?,Je unaweza kuweka hapa Orodha ya majina ya Waislamu ambao ilikuwa waende nje ya nchi kusoma lkn Nyerere akawazuia?.Hivi Wazee wasomi wa Kiislamu km vile akina Prof.Safari,Prof.Shivji,Prof.Musa Assad,Prof.Ibrahimu Lipumba,Prof.Ibrahimu Musa,Abdulrahman Kinana,na wengineo waliosoma enzi za Nyerere waliwezaje km alikuwa anawazuia?.
Alitaka Nyerere awajengee shule, vyuo nk. Wakatoliki au wakristo kwa ujumla kila walipoweka kambi walihakikisha wanajenga kanisa hapo hapo shule ba hospitali sasa njoo kwao wamejenga madrasa pasipo kujenga hata chekechea hapo hapo afu lawama kwa Nyerere. Missionary na huduma za kijamii ni sawa na maisha na pumzi haviachani
 
Waislamu tulifanya kosa kubwa sana kumpa Nyerere kiti cha Uraisi.

Akatugeuka nakupandikiza mfumo Kristo (UKATOLIKI).

Akatudhulumu eneo ya kujenga chuo kikuu Cha Kiislamu Chang'ombe.

Akatupokonya eneo letu pale Tabora mjini (kuanzia TTC karibu na uhaziri mpaka kule Student Center, Library ya mkoa) na kuwapa kanisa Katoliki.

Akazuia waislamu kwenda kusoma nje, wakawa wanaenda Wakristo pekee.

Akazuia Tanzania kujiunga OIC.

Qmamae zake.
Wewe ni mwehu sana, swala la kusoma mpaka sasa linaonekana, watoto wa wakristo wanapokwenda shule nzuri nyinyi mnawapeleka madrasa, mnawafundisha na kupigana karate, then mnakuja kulalamika Nini sasa? Jinga kabisa wewe
 
A

Alitaka Nyerere awajengee shule, vyuo nk. Wakatoliki au wakristo kwa ujumla kila walipoweka kambi walihakikisha wanajenga kanisa hapo hapo shule ba hospitali sasa njoo kwao wamejenga madrasa pasipo kujenga hata chekechea hapo hapo afu lawama kwa Nyerere. Missionary na huduma za kijamii ni sawa na maisha na pumzi haviachani
Si ndio hapo Mkuu?!!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom