Anataka tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Anataka tufanye mapenzi kabla ya ndoa

LAKI

Senior Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
100
Reaction score
37
Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo sahihi?
 
Habari za mchana wandugu, kama
mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza,
tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila
nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda
hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya
mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo
sahihi?

mwambie asubiri tu ila utamegewa na vijana wa mjini.
 
gfsonwin popote ulipo, naomba upitie hapa kutoa ushauri. Mi nshaanza wkend, niko chakali, sidhani kama naweza kuongea cha maana!

dah! hapa sijui nisemeje kwa kweli.

lakini LAKI kwangu mimi labda nikwambie hivi uzinzi ni dhambi that is the fact. na pia kuzini sio sababu ya wewe kuolewa na mwanume yeyote yule. Kadhalika ubikira sio sababu ya wewe kuolewa na mwanaume yyte yule ama pia sio kisingizio kwamba utakapoolewa utaendelea kuwa mtu safi kweye ndoa yako.

kwangu mimi jambo ambalo wewe ungeangalia ni hivi, huyu kijana kwanza ni mchumba kwako ama ni rafiki tu?? na je kwenye mahusiano yenu unaona kweli unamuhitaji huyo kijana na yeye anakuhitaji?? kama kweli mnahitajiana na unampenda sion sababu ya nyie kusubiri harusi za mwaka kesho ndipo muanze kufaidi penzi lenu. ningekusahuri nendeni kwa wazazi tambulishaneni mfunge ndoa kabla ya mwaka kesho ili mpeane haki yenu. kama mnang'ang'ania harusi za gharama ndipo mpeane tundi utachemka manake kijana atakapochoka kusubiri atatafuta liwazo na mwisho wa siku hatakuwa wako tena.
 
Last edited by a moderator:
Mpe aonje kama bwawa u mnato atapima-vinginevyo unamuuzia mbuzi kwenye gunia

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ukishauriwa utaimpliment huo ushauri?
It is all about you, your lord and ur mtarajiwa wako.
 
dah! hapa sijui nisemeje kwa kweli.

lakini LAKI kwangu mimi labda nikwambie hivi uzinzi ni dhambi that is the fact. na pia kuzini sio sababu ya wewe kuolewa na mwanume yeyote yule. Kadhalika ubikira sio sababu ya wewe kuolewa na mwanaume yyte yule ama pia sio kisingizio kwamba utakapoolewa utaendelea kuwa mtu safi kweye ndoa yako.

kwangu mimi jambo ambalo wewe ungeangalia ni hivi, huyu kijana kwanza ni mchumba kwako ama ni rafiki tu?? na je kwenye mahusiano yenu unaona kweli unamuhitaji huyo kijana na yeye anakuhitaji?? kama kweli mnahitajiana na unampenda sion sababu ya nyie kusubiri harusi za mwaka kesho ndipo muanze kufaidi penzi lenu. ningekusahuri nendeni kwa wazazi tambulishaneni mfunge ndoa kabla ya mwaka kesho ili mpeane haki yenu. kama mnang'ang'ania harusi za gharama ndipo mpeane tundi utachemka manake kijana atakapochoka kusubiri atatafuta liwazo na mwisho wa siku hatakuwa wako tena.
Nakubaliana na wewe,mwanaume lazima uonje yani u taste..hiki chakula je ni kizuri...size yangu?hakikinaishi hiki?etc sio mambo ya kuuziana mbuzi kwenye gunia. Halafu ndoa iwe ya karaha na bada ya mwezi tu mnaanza mfarakano kwa upande wa mdada lazima na yeye ajue vp jamaa mgegedo wake size yang?ukute ni kipipi mana kimepitiliza hd kwenye kibamia pale ikawa ukikohoa tu kitu kinatoka out,pia je kidume kinasimamisha?nayo take into consideration!!Je anakuridhisha kiasi huwezi mkumbuka juma wako wa zaman!!!etc etc


Sent from G-spot
 
Last edited by a moderator:
Hamko tayari kwa ndoa nyie, mnapotezeana wakati. Kila mtu afanye lake mkiwa tayari mtakutana kwa mapenzi ya mungu. Bila hivyo mtakua mnadanganyana tuu.
 
Muulize yke ilitolewa darasa la ngp! utachoka mwenyewe.

Mhhh, huko nitakuwa nimeenda mbali sana. Siamini hilo, ila hata kama ilitolewa mapema, siku zote huwa naamini kutenda kosa si kosa kosa ni kurudia kosa! Namaanisha kama alifanya kosa na akaamua kutumia kosa lake kuwaonya wengine wasifanye kosa kama hilo, jambo hili ni jema mbele za wanadamu na Mungu pia!
 
mapenzi ni kipaji maana kumshawishi mtu mpaka akukubalie unayotaka ni mtihani. Wote mnaweza kuwa na lengo moja lakini kama hakuna mwenye kipaji cha kushawishi kati yetu mtaishia kuvutana na mwisho wa siku hamkubaliani huku kila mmoja akiwa peke yake anajilaumu kwa kukosa hiyo nafasi. Nawasikitia akina dada maana wao wakisingizia sijawahi uongo huo huwa na mwisho ila kwa wenzangu mpaka kesho. Ila mapenzi ni kusikilizana sasa mmeanza vibaya kwa staili hii ya kushitakiana inaonekana siku ukimgusa akakupiga kipepsi unakimbilia kwa wazazi kusitaki. mashitaka hudhalilisha familia zaidi ya kutatua labda kama ni kitu kisicho cha kawaida ambacho hakivumiliki.
 
Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo sahihi?
Unataka kumkabidhi mbuzi ndani ya gunia?
 
Back
Top Bottom