Anataka nauli ya ndege

Bahili halafu anataka vitu vizuri. Kama huna hela piga puchu ndo bure
 
Mpige block kila angle ya simu anayoweza kutumia kukupata, then mlipoti takukuru, msingizie chochote
 
huyo ulimkosea toka mwanzo, inaonekana ulimwonyesha una pesa mwanzoni, hivyo anajua nauli unayo ya kumpandisha ndege, ulimtongoza kipredeshee, kama unampenda mtumie tu hiyo tiketi ya ndege, na mama ako amemuonea wapi huko mkoani au ?
Nilikutana nae huku dar ndo akafahamiana na bi mkubwa lakn kwao ni mkoani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni nani?, wewe ni Boya.... Wewe ni ndezi mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua unatusumbua kwa vitu vya kinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo pesa za kumpamdisha ndege mchumba unafikiri kila mwanaume anazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…