Anataka mwanae

Anataka mwanae

nginaeli

Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
22
Reaction score
5
hi jf mi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 29 nikiwa na miaka 24 nilikwa na mahusiano na kijana mmoja nikapata ujauzito lakin yule kijana alikataa niliendelea na maisha kwa mda huo nilikuwa naplan za kuanza kusoma masters so nilianza chuo na mimba ya miezi miwili pale chuo nilikutana na mwanaume mwenye umri wa 37 alikuwa my normal frend baada ya muda nilijikuta nikimueleza kuhusu mimba yangu na ilivyokataliwa alinihurumia ila pia alinipa story kuwa yeye ni mjane mke wake alikufa kwa ajali na walidum kwenye ndoa kwa miaka 6 na hawakubahatika kupata mtoto aliniaidi kulea mimba yangu na baada ya kujifungua tufunge ndoa kwa masharti kuwa mtoto apewe jina lake nilikubali alinidekaza na kunitake care vya kutosha mpaka nikajifungua salama mtoto wa kiume anaye fanana sana na yule janaume la kwanza baada ya kumaliza chuo tulifunga ndoa na nikazaa mtoo mwingine wa kike ana mapenzi ya dhat kwa watoto wote hajawah kubagua wazaz wake na wangu wanajua yule mtoto ni wake sir tunayo ss hv karibun since huu mwaka umeanza yule jamaa amekuwa akinipigia simu anataka mwanae mbaya zaid ananifuata mpaka ofisin nimechunguza nimeambiwa kuwa ameoa ila ni mwaka wa 3 huu hajapata mtoto sipo tayar kumpa mtoto nan jambo ambalo litamuumiza mume wangu je nikimpa jamii including our parents itanichukuliaje as far as they know mtoto ni wa mume wangu pia amekuwa ananitishia kwenda mahakaman kuclaim apewe mwanae mwenye utaalam kidogo wa sheria wanijuze mahakama inaweza kwel kumpa haki ya kumchukua mtoto
 
Usichukulie poa, hapo baadaye itawaletea shida kubwa, kaa na mume wako zungumzeni kama vipi mpeni mtoto wake maana hiyo ni damu yake.
 
This is what I'm telling you. YOU DO NOT GIVE HIM HUYO MTOTO, alishindwa na alimkataa, then what. Mwambie huyo mtoto sio wa kwake ikiwezekana. Watu wa namna hii ndo huwa wanasababisha ongezeko la watoto wenye maisha magumu.Nahic aliamua kukuharibia maisha yako, so Kama na mbwai na iwe mbwai
 
hilo swala lingekuwa wazi kwa wazazi wa pande zote mbili ingekuwa rahisi kuwashirikisha wao....ila kama wanajua mtoto ni wa mumeo....nadhani ndo kipindi cha wao kujua ukweli ......ongea na mumeo kuhusu kuwaeleza wazazi ukweli ili na wao wawasaidie kutoa mawazo ya nini cha kufanya......
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli daima yote.....huyo mtoto wa watu bwana.Si shaur apewe kwa sasa huyo mtoto kwa maana ya kiusalama zaidi.
Ila muda ukifika bas apewe baba yake.
 
Wat goes around comes around yameshamkuta huyo...unajua wakati mwengine binaadamu tunafikria yaliyopo sasa tu hatufikirii OUT OF THE BOX...
Ushauri wangu kwako ni kwamba huyo ndio baba mzazi wa huyo mtoto ijapokuwa alishamkataa na kwa nilivyoelewa hakusaidii katika malezi/matunzo ya huyo mtoto..lakini huwezi kubadili fact kwamba yeye ndio biological father.Hata hili suala likichukuliwa kisheria huyo mwanaume ana haki ya kuwa baba wa huyo mtoto.Na huyo mtoto ana haki ya kumjua babaake mzazi.
Naelewa misukosuko ulopitia nakupa pole sana kwa hilo lakini kumbuka ukifikiria sana jinsi watu/jamii watakavyokufikiria hutoendelea.Katu usifanye kitu kumridhisha mtu au watu, fanya kitu kwasababu nafsi yako inataka hivyo isitoshe lolote utakalofanya watu hawakosagi la kusema.
Kuhusiana na mumeo anajua tangia ulipokuwa mjamzito kuwa huyo mtoto si wake,sidhani kama atakosa uelewa iwapo baba mzazi wa mtoto akitaka mwanae,Yeye ndio mlezi mkuu wa huyo mtoto na kitu kimoja ni kwamba thamani yake haitoshuka kwa huyo mtoto abadani,mtoto anamthamini yule anaemlea kwa upendo...
 
sina utaalamu na sheria ila nangana na wenzangu kuwa mweleze mumeo wa sasa then tafteni mwana sheria mwelezeni nahisi atawapa jibu sahihi hasa ukizingatia aliwahi kumkataa huyo mtoto xo atakuahikishiaje atampa mahitaji yote huku akiwa aliwahi kumkataa
 
Mtoto ana umri gani dada?Kuna sheria zipo zinaweza kukulinda ukawa na mtoto,pili unafanya kazi?Na je na yeye ana uwezo wa kumlea?tupe majibu haya tukushauri zaidi.Pole.
 
Mimi nimtaalamu wa sheria za KITAA. Anakupima tu huyo kuona utafanyaje.

We siku mwambie wazimu wako haujui. Umemvumilia the first time ila umefika point of no return.

Mwambie huyu mtoto mume wako amemnunua kiukoo na wewe ulikubali. Mchinja mbuzi na kula yamini. Kitendo cha yeye kumchukua kitavunja miiko, mtoto atakufa ama kuwa mwehu.
Your sorry uongo na kweli ila he doesnt have much choice, either akubali kumuangalia mtoto kwa mbali akikua na afyabora ama aendeleze chochoko akose mtoto kabisaaaaa au kubakia na mtoto chizi. Uamuz ni wake coz wewe kizaz bado unacho.
 
Usichukulie poa, hapo baadaye itawaletea shida kubwa, kaa na mume wako zungumzeni kama vipi mpeni mtoto wake maana hiyo ni damu yake.

kinachoniuma hakujua ni damu yeke akamkataa nimkabidhi mtoto kwa complete stranger kwel mtoto ana miaka 5 leo nimlete mtu mpya ni mwambie huyu ndeye babaako namuhurumia mwanangu he used to know mume wangu ndiye babaake
 
kinachoniuma hakujua ni damu yeke akamkataa nimkabidhi mtoto kwa complete stranger kwel mtoto ana miaka 5 leo nimlete mtu mpya ni mwambie huyu ndeye babaako namuhurumia mwanangu he used to know mume wangu ndiye babaake

Huna namna, maana hapo baadae itakuja kuwa tabu kweli, angalia namna ya kulimaliza hivi sasa.
 
mtoto ana miaka mitano,mi ni adminstrator manager kwenye kampun binafsi, ana uwezo ila nahofia image yangu kwenye public pi maumivu kwa mme wangu aliyenipokea wakat wa shida nakunifarij
 
Mwambie mimba haikuwa yake ulikuwa unampima tu akili...yaani m2 akukatalie mimba halafu mtoto kakua ndo anamtaka?mwambie ulikuwa tu unamcingizia mimba tena asikusumbue

mh! Chungu lakini tamu!
 
siku zote ukweli humuweka mtu huru,mwambie ukwel kua mtoto ni wake ila hakutoa ushirikiano tokea akiwa tumboni na mueleze hayo katika kikao ikibidi kikiwa na ndugu wa pande tano,mzaz mwenzio,mumeo wa sasa,ndugu upande wako, ndugu upande wake na nduguyo asie wa damu(aweza kua kiongozi wa dini,mwanasheria e.t.c)
mueleze jinsi ilivyokuuma na inavyokuuma kwa alichofanya na nini ukitakacho,kwa kua mtakua wengi naamin halitahiribika neno LAKINI kwanin umeamua kumuita mzazi mwenzio JANAUME?,epuka kufanya maamuzi ukiwa na hasira ni maoni yangu tu haya unaweza fanyia kazi ama vinginevyo
 
hi jf mi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 29 nikiwa na miaka 24 nilikwa na mahusiano na kijana mmoja nikapata ujauzito lakin yule kijana alikataa niliendelea na maisha kwa mda huo nilikuwa naplan za kuanza kusoma masters so nilianza chuo na mimba ya miezi miwili pale chuo nilikutana na mwanaume mwenye umri wa 37 alikuwa my normal frend baada ya muda nilijikuta nikimueleza kuhusu mimba yangu na ilivyokataliwa alinihurumia ila pia alinipa story kuwa yeye ni mjane mke wake alikufa kwa ajali na walidum kwenye ndoa kwa miaka 6 na hawakubahatika kupata mtoto aliniaidi kulea mimba yangu na baada ya kujifungua tufunge ndoa kwa masharti kuwa mtoto apewe jina lake nilikubali alinidekaza na kunitake care vya kutosha mpaka nikajifungua salama mtoto wa kiume anaye fanana sana na yule janaume la kwanza baada ya kumaliza chuo tulifunga ndoa na nikazaa mtoo mwingine wa kike ana mapenzi ya dhat kwa watoto wote hajawah kubagua wazaz wake na wangu wanajua yule mtoto ni wake sir tunayo ss hv karibun since huu mwaka umeanza yule jamaa amekuwa akinipigia simu anataka mwanae mbaya zaid ananifuata mpaka ofisin nimechunguza nimeambiwa kuwa ameoa ila ni mwaka wa 3 huu hajapata mtoto sipo tayar kumpa mtoto nan jambo ambalo litamuumiza mume wangu je nikimpa jamii including our parents itanichukuliaje as far as they know mtoto ni wa mume wangu pia amekuwa ananitishia kwenda mahakaman kuclaim apewe mwanae mwenye utaalam kidogo wa sheria wanijuze mahakama inaweza kwel kumpa haki ya kumchukua mtoto

Ana ushahidi gani kuwa ni mwanaye?
Hasa ukizingatia kuwa hana mtoto kwa mkewe mwaka wa tatu;
Na inawezekana kajaribu nje kashindwa kupata hata mimba ya kuzingiziwa.
Achana naye.
Achana naye kwani ni Maluuni​
Pambafu kabisa aliyedhani ni kidume cha mbegu
Kumbe ni Towashi tu
Towashi wa kujitakia
Alihasiwa siku nyingi kwa kukataa damu yake

Bazazi!
 
Back
Top Bottom