Anataka kuzaa naye tu mtoto hatamuhusu baba.

Haifai kabisa kabisa, atakuja msimbua, anasem hivyo Leo lakini akishapata huyo mtoto ataanza demand mambo Mengine, oh mwanangu anataka akuobe, hapati usingizi, mwishowe anamtokea kwa wife, jamaa ataaribu ndoa yake, Mianamke ya hivyo HAIFAI hata kidogo, kwa nini asiolewe? Pumbafu na Aibu ...



Rafiki yangu mmoja jana tukiwa mahali alinipa kisa kinachohitaji mchango wa mawazo yako.
Kuna mrembo mmoja ambaye jamaa alijuana naye kupitia kaka yake(ie kaka wa huyu mrembo na huyu rafiki yangu walikuwa marafiki mpaka wakawa wanatembeleana nyumbani hapo ndo chanzo cha huyu mrembo kumjua huyu rafiki yangu.)Miaka kama 5 imepita bila yule jamaa kuonana na yule dada wa rafiki yake ambaye yeye alikuwa anamchukulia kama ni mdogo wake pia.
Juzi kati ghafla wakakutana Benk na yule mrembo wakaongea kidogo ikiwa ni pamoja na kubadilishana namba za simu.
Ikapita kama siku 4 mara simu ikaita kucheki ni yule mrembo wakaongea kikubwa yule mrembo akamuomba wakutane week end inayofuata.
Ikafika hiyo siku wakakutana wakaongea mengi sana na yule mrembo akatumia fursa hiyo kumweleza jamaa kwamba alikuwa hayupo nchini alienda Uingereza kuchukua Masters yake na ameshajenga nyumba yupo kwake ana gari 2.
Na ana pato zuri tu kwa mwezi.
Huyo Mrembo ndo ana miaka 29 sasa hivi.
Jamaa akafuraia mafanikio aliyofikia kwa kumpa hongera sana.
Yule binti akamwambia "Si nilichokuitia ila naomba usinifikirie vibaya kwani najua wewe ni rafiki mkubwa wa kaka yangu na ninajua una mke,Ninachoomba kwako ni nahitaji kuzaa na wewe kwani nimekuwa nikikupenda kwa mda mrefu sana ila niliogopa kukuambia mpaka ukaja kuoa ninachoomba kutoka kwako ni unipe mimba then mtoto atakaye zaliwa hasikuhusu kabisa kama una ogopa itakuletea shida kwa mkeo.
Na naomba sana usinifikirie vibaya kwani ni ukweli nakupenda sana na ukinikubalia nakuhaidi nitakupa zawadi nzuri sana"

Jamaa akamwambia nipe mda kidogo nifikirie then nitakupa jibu ndo jamaa kanitafuta jana kanipa kisa hiki.
Anaomba mchango wangu pamoja na wako juu ya hili.
 
Rafiki yangu mmoja jana tukiwa mahali alinipa kisa kinachohitaji mchango wa mawazo yako.
Kuna mrembo mmoja ambaye jamaa alijuana naye kupitia kaka yake(ie kaka wa huyu mrembo na huyu rafiki yangu walikuwa marafiki mpaka wakawa wanatembeleana nyumbani hapo ndo chanzo cha huyu mrembo kumjua huyu rafiki yangu.)Miaka kama 5 imepita bila yule jamaa kuonana na yule dada wa rafiki yake ambaye yeye alikuwa anamchukulia kama ni mdogo wake pia.
Juzi kati ghafla wakakutana Benk na yule mrembo wakaongea kidogo ikiwa ni pamoja na kubadilishana namba za simu.
Ikapita kama siku 4 mara simu ikaita kucheki ni yule mrembo wakaongea kikubwa yule mrembo akamuomba wakutane week end inayofuata.
Ikafika hiyo siku wakakutana wakaongea mengi sana na yule mrembo akatumia fursa hiyo kumweleza jamaa kwamba alikuwa hayupo nchini alienda Uingereza kuchukua Masters yake na ameshajenga nyumba yupo kwake ana gari 2.
Na ana pato zuri tu kwa mwezi.
Huyo Mrembo ndo ana miaka 29 sasa hivi.
Jamaa akafuraia mafanikio aliyofikia kwa kumpa hongera sana.
Yule binti akamwambia "Si nilichokuitia ila naomba usinifikirie vibaya kwani najua wewe ni rafiki mkubwa wa kaka yangu na ninajua una mke,Ninachoomba kwako ni nahitaji kuzaa na wewe kwani nimekuwa nikikupenda kwa mda mrefu sana ila niliogopa kukuambia mpaka ukaja kuoa ninachoomba kutoka kwako ni unipe mimba then mtoto atakaye zaliwa hasikuhusu kabisa kama una ogopa itakuletea shida kwa mkeo.
Na naomba sana usinifikirie vibaya kwani ni ukweli nakupenda sana na ukinikubalia nakuhaidi nitakupa zawadi nzuri sana"

Jamaa akamwambia nipe mda kidogo nifikirie then nitakupa jibu ndo jamaa kanitafuta jana kanipa kisa hiki.
Anaomba mchango wangu pamoja na wako juu ya hili.

naomba sana uni PM no ya huyo binti!
 
Rafiki yangu mmoja jana tukiwa mahali alinipa kisa kinachohitaji mchango wa mawazo yako.
Kuna mrembo mmoja ambaye jamaa alijuana naye kupitia kaka yake(ie kaka wa huyu mrembo na huyu rafiki yangu walikuwa marafiki mpaka wakawa wanatembeleana nyumbani hapo ndo chanzo cha huyu mrembo kumjua huyu rafiki yangu.)Miaka kama 5 imepita bila yule jamaa kuonana na yule dada wa rafiki yake ambaye yeye alikuwa anamchukulia kama ni mdogo wake pia.
Juzi kati ghafla wakakutana Benk na yule mrembo wakaongea kidogo ikiwa ni pamoja na kubadilishana namba za simu.
Ikapita kama siku 4 mara simu ikaita kucheki ni yule mrembo wakaongea kikubwa yule mrembo akamuomba wakutane week end inayofuata.
Ikafika hiyo siku wakakutana wakaongea mengi sana na yule mrembo akatumia fursa hiyo kumweleza jamaa kwamba alikuwa hayupo nchini alienda Uingereza kuchukua Masters yake na ameshajenga nyumba yupo kwake ana gari 2.
Na ana pato zuri tu kwa mwezi.
Huyo Mrembo ndo ana miaka 29 sasa hivi.
Jamaa akafuraia mafanikio aliyofikia kwa kumpa hongera sana.
Yule binti akamwambia "Si nilichokuitia ila naomba usinifikirie vibaya kwani najua wewe ni rafiki mkubwa wa kaka yangu na ninajua una mke,Ninachoomba kwako ni nahitaji kuzaa na wewe kwani nimekuwa nikikupenda kwa mda mrefu sana ila niliogopa kukuambia mpaka ukaja kuoa ninachoomba kutoka kwako ni unipe mimba then mtoto atakaye zaliwa hasikuhusu kabisa kama una ogopa itakuletea shida kwa mkeo.
Na naomba sana usinifikirie vibaya kwani ni ukweli nakupenda sana na ukinikubalia nakuhaidi nitakupa zawadi nzuri sana"

Jamaa akamwambia nipe mda kidogo nifikirie then nitakupa jibu ndo jamaa kanitafuta jana kanipa kisa hiki.
Anaomba mchango wangu pamoja na wako juu ya hili.

Mdau hapa kuna mambo ma 3 ya kuzingatia ambayo yako wazi
1.Umeshaowa kwa hiyo huruhusiwi kutembea nje ya ndoa
2.Anataka umzalishe mtoto asiye kuhusu lakini mtoto akipata matatizo hatakubali kuyabeba peke yake
3.Anasema alikupenda toka zamani na anaendelea kukupenda,hiyo ni ishara ya kukuharibia ndoa yako kwan huwezi kupenda wawili kwa pa1
 
Akili zako changanya na za jirani yalo kisha chukua hatua.......amekua sasa ache michezo ya hatari.
 
Kisa kizuri sana mkuu,lakini ukweli utabakia palepale kuwa babu zetu hawakukosea walipohakikisha kuwa mwanamke hapewi nafasi,sasa kama huyu with masters level ina maana hajaona kina paka mweusi tulivyojaa mpaka akajibane kwa mume wa mtu..??Au ina maana hiyo elimu yake aliyoelimika nyumba na magari yake basi anaona kuwa walio katika level yake ni wachache..?Ushauri tu kwa rafiki yako,mwambie ili kuokoa familia yake avunje kabisa mawasiliano na huyo ibilisi kwani itaanzia kwenye kuambukizana mimba na kitakachofuata baadaye nani anajua..?
Well said na nitajaribu kupeleka na jina lako kama ataridhia kuwa na wwe nitakujulisha.
 
Kwa ajili huyo mdada ana uwezo wa kutosha, awe mvumilivu na kuvuta muda, atampata mwanaume atakayempenda na kuweza kuzaa nae.
Si ndiyo kashampenda jamaa yeye asikii wala haoni tena.
 
Sasa hapa ushauri wa nini tena wakati tayari ana mke?? Kuzaa nje ya ndoa si ndo kumsaliti mkewe? By the way hivi huyo jamaa yeye amegeuka maksai kwa kuombwa kumzalisha mwanamke kirahisi hivyo (maksai-ng'ombe dume anayetumika kuzalishe ng'ombe jike)? Hajioni kama ameshushwa thamani? Haoni kama akikubalia kufanya hivyo pia atakuwa ameshusha utu wake?

Yeye akisikia mkewe kaombwa kufanya hivyo na mwanaume mwingine atajisikiaje? .... Mweeee, labda ufahamu wangu ni mdogo, ngoja niwasikilize wadau wengine nitarudi kumalizia uzi ....!
Safi sana hii.
 
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???

Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.

Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...

Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...
Uwapo nyumba kubwa na Kongosho naamini hakitaharibika kitu.
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli huyu jamaa ametegwa, sio utani dah!! Wewe mwamamume rijali kabisa unaombwa kudonate sperm na mrembo? Ushauri wangu, akimbie!! wala si kutembea ni kukimbia kabisaaa!! Matatizo makubwa yanamyemelea huyu jamaa!! huyu mrembo atasababisha ama apate HIV au ndoa kuvunjika na mateso ya watoto baada ya hapo. Hii ni tamaa tu ya mabint wa kizazi cha leo. miaka 29 bado mdogo kabisa huyu binti kwa hiyo asijitie desperate kihivyo!!
Mkuu si unajua mabinti wengi sas hivi kuolewa hawataki yaani hii ndo imekuwa tabia hasa kwa wenye elimu kidogo ni shida anataka mtoto tu.
 
Duuh..mwaka huu mpaka wanawake mutumalize..sahivi mntaka kununua mbegu zetu??...duuuh kama mie sitoi mbegu kisa ana masters nyumba na gari 2 na mtoto atamlea...

Then u said she 29yrs old?...hapo ndo utata huja..mama anaona anagonga menopause muda si mrefu n she gotta cheddah anahovia kuolewa...hana lolote anataka kuvunja ndoa ya mshkaji....

Ampe dudu no mimba..finitooo.
Ila hajakutana na masela hii wangiita zali la mentali, hahahahahahha
 
huyo demu ana 29 anaona age inakwenda mwanaume wa kuoa hakuna so ameona bora azae maana hutaki mtu utunze watoto uzeeni..wakae chini waelewane
mtotowamjini Unajua sitaki kuamini kama huyu demu hana watu wanaotaka kumuoa wengine hata hawajaoa ila mabinti wasasa hivi wako selective sana.
 
Last edited by a moderator:
Akithubutu tu amekwisha, nae anamtamani huyo mrembo tu hana lolote kama baba anaejali familia yake hakuwa hata na sababu ya kujiuliza mara mbili. Na huyo mrembo mwizi tu pia anataka kuharibu hiyo ndoa ya huyo kaka, Miaka 29 amekosa mwanaume single wa kuzaa nae? mbona wamejaa?
Offcourse jamaa yupo dilema ndiyo maana anaomba ushauri mi namjua huyo binti ni mkare ile mbaya na ana nyodo sana kama hamjuani.
 
mie hapo hata sioni cha kufikiria huyo rafikio ana mke wake, kama anataka kudonate mimba afanye hivo kwa mkewe, huwez kuzaa na mtu halaf eti upotezee kama vile hakikutokea kitu mtoto ni dam yake na kwa namna yeyote itasababisha mahusiano mapya ya kimapenz kati ya huyo rafikio na mrembo wake. mwambie aheshimu ndoa yake na amuheshim mkewe na family yake. huyo the so-called mrembo nae gube gube tu, elimu yake haijamsaidia na watu wa aina yake ndio wanaoleta usemi wa adui wa mwanamke ni mwanamke uwe kweli, anataka kuharb ndoa mwenzie hvhv,,
Natafuta kitufe cha like nikupatie.
 
wakuu nyie hamja msoma manuu huyu ni yule mfanyakazi mwenzie waliendaga naye china sijui dubi wakalala humba kimoja. sasa bint ampeda anataka kuzaa naye hii kusema ni rafiki yake ni gia ya fix tu.

ushauri wangu mwl mimi ni kwamba ma dearest kama ulivyoweza kulala na huyu binti chumba kimoja safarini pasi kufanya matusi mpaka mkarudi tena tz basi mpotezee hivyo hivyo.
gfsonwin hahhahah hapana hapo unataka kupotosha umma kwani hata Kongosho anajua niliyashinda majaribu.
 
Last edited by a moderator:
fabricated story huhitaji akili sana kutambua haya uliyoeleza yanatokea kwenye muvi tu si katika maisha halisi.
Watu kama wewe kwenye jamii hamkosekani unaambiwa toa ushauri unaleta story,
Yaelekea hujawai tamaniwa ndiyo maana unaona hatari, mbona hivi vitu vya kawaida sana man.
 
Back
Top Bottom