Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???
Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.
Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...
Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???
Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.
Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...
Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???
Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.
Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...
Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...
Akubali but thru IVF hawana ulazima walale pamoja
mwenzako akinyolewa tia maji. wadada mlioko humu mliolewa mjifunze kuwaombea waume zenu, wanajaribiwa sana na wadada,wake za watu, ili mradi kuhatarisha usalama wa ndoa.
Ni uhuni tu the real sensible man hawezi kuacha damu yake bila kujua maendeleo ya mtoto hata kama mama atakuwa ni bi.................Kiroboto .wanawake sasa wanataka kutuzalau...
Hivi mtu anaanzaje hata kusema ngoja nikafikirie? Yaani tayari hana uamuzi wake binafsi katika jambo lilio wazi hivi?
Anyways, huyo jamaa yako mwambie aingie ngomani aone kazi. Kuna bi mkubwa mmoja naye alizaa na kaka mmoja kwa visingizio tele kuwa asiwe na shaka yeye ni mtu mzima na hatashindwa kulea huyo mtoto. Thubuthu....sasa hivi ndio anatafuta njia zote za kuharibu ndoa ya huyo bwana (walizaa kabla ya ndoa ya kijana) kisa mtoto!
Huyu anatafuta kuwa nyumba ndogo kwa nguvu. Keshasema anampenda alafu ategemee wakishatiana mimba ndio nyege zitaisha??? Si ndio itakuwa tena na tena... mtoto wa pili na wa tatu???
Pili unadhani ni rahisi huyo kijana kuto connect na mtoto atakayezaliwa. Hapo piga ua mkewe atajua tu kwani huwezi ficha damu yako unless uwe hamnazo.
Tatu ataamini vipi kuwa huyo mwanamke hana nia ya kuvuruga ndoa ya yake... kwa maana kuwa ata behave kama other woman au atakuwa anamsumbua the real wife? Mapenzi hayajaribiwi jameni...
Huyo mwanamke ni mwizi tu... kama domo lilikuwa zito kutamka kuwa anampenda jamaa wakati alimjua since akiwa single...leo huo wepesi wa kutamka maneno mazito hayo ameutoa wapi...? Kaona amedoda anahaha... ukute keshaweka mitego kwa wanaume kadhaa... maradhi hayo...
Damu ya mtu haipote !!!!Rafiki yangu mmoja jana tukiwa mahali alinipa kisa kinachohitaji mchango wa mawazo yako.
Kuna mrembo mmoja ambaye jamaa alijuana naye kupitia kaka yake(ie kaka wa huyu mrembo na huyu rafiki yangu walikuwa marafiki mpaka wakawa wanatembeleana nyumbani hapo ndo chanzo cha huyu mrembo kumjua huyu rafiki yangu.)Miaka kama 5 imepita bila yule jamaa kuonana na yule dada wa rafiki yake ambaye yeye alikuwa anamchukulia kama ni mdogo wake pia.
Juzi kati ghafla wakakutana Benk na yule mrembo wakaongea kidogo ikiwa ni pamoja na kubadilishana namba za simu.
Ikapita kama siku 4 mara simu ikaita kucheki ni yule mrembo wakaongea kikubwa yule mrembo akamuomba wakutane week end inayofuata.
Ikafika hiyo siku wakakutana wakaongea mengi sana na yule mrembo akatumia fursa hiyo kumweleza jamaa kwamba alikuwa hayupo nchini alienda Uingereza kuchukua Masters yake na ameshajenga nyumba yupo kwake ana gari 2.
Na ana pato zuri tu kwa mwezi.
Huyo Mrembo ndo ana miaka 29 sasa hivi.
Jamaa akafuraia mafanikio aliyofikia kwa kumpa hongera sana.
Yule binti akamwambia "Si nilichokuitia ila naomba usinifikirie vibaya kwani najua wewe ni rafiki mkubwa wa kaka yangu na ninajua una mke,Ninachoomba kwako ni nahitaji kuzaa na wewe kwani nimekuwa nikikupenda kwa mda mrefu sana ila niliogopa kukuambia mpaka ukaja kuoa ninachoomba kutoka kwako ni unipe mimba then mtoto atakaye zaliwa hasikuhusu kabisa kama una ogopa itakuletea shida kwa mkeo.
Na naomba sana usinifikirie vibaya kwani ni ukweli nakupenda sana na ukinikubalia nakuhaidi nitakupa zawadi nzuri sana"
Jamaa akamwambia nipe mda kidogo nifikirie then nitakupa jibu ndo jamaa kanitafuta jana kanipa kisa hiki.
Anaomba mchango wangu pamoja na wako juu ya hili.
fabricated story huhitaji akili sana kutambua haya uliyoeleza yanatokea kwenye muvi tu si katika maisha halisi.