Anataka kuoa bint mrangi toka kondoa

Anataka kuoa bint mrangi toka kondoa

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,963
Habari wana jf.

Jamani nawakilisha uzi huu kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi.

Yeye ana demu wake Ni mrangi, mtoto mzuri, mweupe, modle, meno tu ndio meusi kdg.... (hahaha)

Ameniuliza vip kuhusu tabia za watu wa kabila hili?. Sasa kwakuwa siwafahamu nikaona nulete huu uzi.

Asanteni.

Ndo Mimi zee mwenye kasumba zake.
 
Habari wana jf.

Jamani nawakilisha uzi huu kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi.

Yeye ana demu wake Ni mrangi, mtoto mzuri, mweupe, modle, meno tu ndio meusi kdg.... (hahaha)

Ameniuliza vip kuhusu tabia za watu wa kabila hili?. Sasa kwakuwa siwafahamu nikaona nulete huu uzi.

Asanteni.

Ndo Mimi zee mwenye kasumba zake.

hilo kabila ni wazuri kiukweli ila inataka moyo kama walivo,sina la kuchangia sana
 
Warangi na wanyaturu wanatofautiana lugha tu ila tabia zote zinafanana
 
Oa kwenu..shida zote za nini hizi?

Na unaoa kwingine wewe dada zako kijijini kwako aoe nani?

Acha kukimbia majukumu!

Highest level of commitment is to commit to a woman from your own kind....And highest level of betrayal is the reverse of that!

Ooh napenda sana jamii yangu blah blah blah, then commit!
 
Mwambie amuoe tu kwani akilijua kabila la hyo mwanamke atamuoa yy na hlo kabila?

Umware!
 
Wazuri ,wanaheshima,wakarimu,wahapendi ushangingi ,wanaridhika na maisha halisia

Mambo ya mengine ni hulka ya MTU na mtu
 
Kama hutaki stress oa kabila lako ndugu yangu.
Wakati mwingine hupunguza stress.
 
Waoh Warangi jamani Mungu akusaidie maana hao watu........,kiukweli kila kabila Lina shida ila warangi wanaoana wenyewe kwa wenyewe mtu wa kabila lingine utapata taaabu Sana.

Maana Kama alivyosema mtu hawakatai kiukweli mtu yoyote wanakupa....
 
Don’t generalise human beings are individual people.
 
Warangi ni wazuri sema kale katabia kakufunga uume unasimamisha dudu kwake tu. Tegemea kupata impotence ukichepuka coz kamwe hutasimamisha kwa michepuko
 
Habari wana jf.

Jamani nawakilisha uzi huu kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi.

Yeye ana demu wake Ni mrangi, mtoto mzuri, mweupe, modle, meno tu ndio meusi kdg.... (hahaha)

Ameniuliza vip kuhusu tabia za watu wa kabila hili?. Sasa kwakuwa siwafahamu nikaona nulete huu uzi.

Asanteni.

Ndo Mimi zee mwenye kasumba zake.
Eti kwa niaba ya rafiki yangu....si umfundishe kutumia JF! acha uongo ......we oa tu Kabila sio mtu......Mtu anakuwa na tabia fulani kutokana na malezi na makauzi!
 
Hahaha mwambie kuja jamaa mmoja kacheka tu haja comment chochote
 
Habari wana jf.

Jamani nawakilisha uzi huu kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi.

Yeye ana demu wake Ni mrangi, mtoto mzuri, mweupe, modle, meno tu ndio meusi kdg.... (hahaha)

Ameniuliza vip kuhusu tabia za watu wa kabila hili?. Sasa kwakuwa siwafahamu nikaona nulete huu uzi.

Asanteni.

Ndo Mimi zee mwenye kasumba zake.
Anataka kuaoa kabila au mke.

Ikiwa ni mke amchunguze yeye mwenyewe pekee kama anaendana nae
 
Daaah! Nilipataga mmoja pale Dodoma mpaka kanifundisha kula vindege vinavyobanikwa kijiji fulani kama unatoka Dodoma kwenda Kondoa kwao. Alikuwa mtamu kweliiiiii kama vindege vyenyewe!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom