Anataka kuoa bint mrangi toka kondoa

Anataka kuoa bint mrangi toka kondoa

Habari wana jf.

Jamani nawakilisha uzi huu kwa niaba ya rafiki yangu kipenzi.

Yeye ana demu wake Ni mrangi, mtoto mzuri, mweupe, modle, meno tu ndio meusi kdg.... (hahaha)

Ameniuliza vip kuhusu tabia za watu wa kabila hili?. Sasa kwakuwa siwafahamu nikaona nulete huu uzi.

Asanteni.

Ndo Mimi zee mwenye kasumba zake.
Sema tu kwamba ni wewe mwenyewe acha kumsingizia rafiki yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom