Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

Nyangabo2022

Senior Member
Nov 13, 2022
101
128
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
 
Wadau nipo kwa niaba. Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv...
Mimi nashauri aendele kufanya vyote aweke watu shamba kila jioni baada ya kazi au weekend afatilie shamba hajiwekeze zaidi kwanza kwenye kilimo kupitia huo mshahara anaoupata
 
Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
 
Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
Hizo ni story za kufunga Tu mkuu.
 
Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
Si kwamba hajui hesabu anashindwa kuamua afate lipi na ujue hofu huenda akaacha mambo yakaenda vbaya;
 
H
Wadau nipo kwa niaba.

Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kwa msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatizo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaidi.

Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake!

Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu.

Karibuni
Huyu wewe na sio yeye. Hongera mkuu. Weka Kwanza akiba ya pesa bank ( fixed account, bonus account, nunua bonds etc) then achana na kazi ya kuajiliwa ni utumwa
 
Wadau nipo kwa niaba. Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic 990000 take home ni kama 640000, anadai katka kaz zake za shamba kw msimu anauwezo wa kuvuna gunia 1500 za mpunga katika shamb la hekar 75 anazolima maana Kanda anayolima mvua sio tatzo! Mwaka Jana Dec kauza mpunga gunia 1500* 120000= 180000000 cash. Ad kapata tamaa y kuongeza ukubwa wa shamba ili anufaike Zaid. Anataman kuacha ualimu sababu anahisi anaumia na kazi yenye kipato kidogo! Nmemwambia anipe muda ili nchakate Jambo lake! Wadau mnahisi ushauri gani unamfaa mwenzetu huyu.kumbu anataka kuacha kwa kuchoshwa na mikikmikik y watawala wakat anauwezo wa kujipatia mapato hayo bila kusumbuliwa na mtu. Karbun
Cha kwanza Hilo Shamba ni kubwa linatakiwa apate Trecta four wheel driver jipya New Holland, Eli aweze kujikita vizuri Shambani, j halafu Hilo Trecta lazamani anaendelea kukodishia Kwa wakulima wenzie ama analiuza Hilo Trecta,. Kilimo kinalipa sana ukiwa na mtaji na zana zakisasa ., Kama analipwa laki Tisa Kwa siku 40 hiyo hapo Bado hajatoa gharama zake za Kila siku Chakula, malazi, nguo , ada, na kusadiwa ndugu, Hapo hamna kitu anafanya Ni Bora aende Shamba akalime Kwa Kutumia mtaji wa Hilo Hilo Shamba, Analima ekari. Mia na Ekari mia nyingine anakodisha Kwa watu Eli apate Hela za kumsadia kazi za Shambani, halafu Mazao yake anaweka Store anadubiri Bei iya mwezi Desimba - February anauza, , Pia anaweza kutenga kiasi Cha Mahindi Gunia mitatu(300). Akawa ananunua na kusafirisha kwenye masoko Kwa huo mzigo hawezi kukosa Milioni Moja na laki Tano Kwa tripu Moja Fanya asafirishe mara mbili au tatu Kwa mwezi anapata mara Tano ya salary yake Kwa mwezi huku mzigo mwingine upo store, anadubiri Bei ipande auze, mwaka Moja anakuwa mbali sana. Ila akumbuke huku kwengine kunahitaji sana kujituma na jutokukata tamaa, changamoto pia mi nyingi sana Cha msingi ni kupambana tu, Ila kilimo biashara ni zaidi ya Ajira, kumbuka salary sio net income ni Gross income lazima utoe expenses zako zote za mwezi mzima ndio ujue kiasi kinachobaki sidhani kama kitazidi laki bili au tatu, ambazo ni sawa na Gunia Tatu za Mpunga ukizidisha Kwa miezi 12= ni sawa na kuzalisha Gunia 36, jee angalia huko unasema aluzalisha Gunia 1500, Fanya Gunia 500 ndio gharama zake yeye na familia yake Kwa mwaka mzima Bado atabakiwa na Akiba na kiasi Cha kurudis Shambani,
 
Back
Top Bottom