Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Hivi majuzi nikiwa Wa kushuhudia uchaguzi nilipata kuwasiliana na jamaa mmoja muhimu sana na tulipotezana ghafla baada ya yeye kuwa akielekea nyumbani. Kwa mwana JF anayefahamu contact details za Wilbald Sebastian Lyimo au any close relative wake ili mradi msaada tu nipate contact zake please ajibu katika thread hii then nitakuwa na mengi ya kuelezea kuhusu tukio hili hapo baadae.