lauzi96
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 422
- 805
Mimi binafsi nimeshaoa hila nishawawekea tangazo jamaa zangu 2 na mmoja anaoa mwezi 12 kila kitu kimeshakilika sasa kuna rafiki yangu mwengine naye anahitaji msichana wa kuoa hila yeye anahitaji msichana muislam pia awe muajiliwa asiwe na mtoto wala mlevi,na yeye hajaoa wala hana mtoto na anaishi DSM.
Ukini pm nnakuinganisha naye.
Ukini pm nnakuinganisha naye.