Anatafutwa Fundi anayeweza ku-instal BEIN DECODER kwa Dar

BabaTina

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2008
Posts
429
Reaction score
585
Mambo vp wanajamvi...kuna jamaa angu kanipa haka kazawadi ka BEIN DECODER so nimejaribu mbinu zote za kumpata fundi wa kufunga imeshindikana...kama kuna mtu anafahamu ama yupo hapa tafadhali anahitajika haraka

 
Mambo vp wanajamvi...kuna jamaa angu kanipa haka kazawadi ka BEIN DECODER so nimejaribu mbinu zote za kumpata fundi wa kufunga imeshindikana...kama kuna mtu anafahamu ama yupo hapa tafadhali anahitajika haraka


Duh! Pole mkuu. Ni sawa na kuwa na mamilioni ya shilingi za kitanzania US.
 
Kwanza kabisa hakikisha una dish la bati futi 12 na lnb ya black pro au Fuji ndio unaweza kuipata signal ya hiyo kitu
 
Mkuu ni hii0756966540 anaitwa Ivan,,mwambie nimekupatia hii no
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…