Anatafuta AMANI , refuge kwenye michezo

Anatafuta AMANI , refuge kwenye michezo

Nasikia walikuwa Ikulu jana wanamichezo.
Anakusanya 'hooligans" because these so called michezo eg football are rooted in hooliganism ( refer to football hooliganism ).
Anawagawia bibahasha vya laana
Huyu anagawa laana sijui kwann watu hawamshtukii, Samia ni wa kuogopa kama ukoma, damu ya watanganyika inamsumbua.
 
Hivi wale stars waliitwa kwa jambo gani wakilofanya huko AFRCON?...

Yule bibi ni mbilikimo wa akili kabisa.
 
Wananchi wake milioni 31+ tunamsubiri aje atushukuru, naona mpaka muda huu bado anazunguka zunguka tu ndani ya majengo ya serikali.

Sijui ana shida gani! Unashinda kwa 97.66%, halafu huoneshi kuwa na amani!! Maajabu makubwa haya.
 
Yule ni pepo
Screenshot_20251212-173144~2.png
 
Back
Top Bottom