Mimi namjua anaitwa jemsi isame ni mfanya biashara,ila hiyo story niyakubumba tu na nilikuwepo cha kuchekesha waliingia wanatafuta bunduki na walipoingia wakaenda moja kwa moja choo cha nje wakachukua kimfuko ndo kulikua na hicho kichwa ila ni fuvu alafu chakushangaza fuvu linanywele na zile nywele nizakusukia wanawake zimewekwa kama vile gundi,ni mchezo waliufanya maana mpaka askali wengine walikua wanasema hili ni soo watawashutukia.ila anaugomvi na oc cid wa kawe muda