princess dayana
Member
- Sep 15, 2017
- 28
- 14
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna sehemu nimesoma vibaya au?? "Ameanza hata kuniamkia" [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna sehemu nimesoma vibaya au?? "Ameanza hata kuniamkia" [emoji23][emoji23][emoji23]
Umenena mkuu, hapo kabla sikuwahi kudate coworker ila huyu alipofika tu akaniganda iyo dhana ya kukaa nao mbali coworker ndio niliokuwa nayo tangu naanza kazi ila hapa nikaanguka kwa huyu binti na ndo nimekuwa mhangakitu ambacho ilikuwa ninapambana nacho sana wakati nimeajiriwa ni mapenzi kazini, nilikuwa nimeajiriwa katika shirika flani la ndege kuna watoto wazuri mno na wenye mishahara ya kuaminika na hivyo walikuwa wanatinga pamba kali sana sana lakini sikuwahi hata siku moja ku date mfanyakazi mwenzangu wengine walifikia mpaka kuniita kwa majina machafu, mapenzi kazini yana gharama zake
kitu ambacho ilikuwa ninapambana nacho sana wakati nimeajiriwa ni mapenzi kazini, nilikuwa nimeajiriwa katika shirika flani la ndege kuna watoto wazuri mno na wenye mishahara ya kuaminika na hivyo walikuwa wanatinga pamba kali sana sana lakini sikuwahi hata siku moja ku date mfanyakazi mwenzangu wengine walifikia mpaka kuniita kwa majina machafu, mapenzi kazini yana gharama zake
Ndio hivyo la sivyo atatesekaHapo ndo dawa itakua imepatikana,hawa wasichana wetu wanakera sana,
Mkuu nakubaliana maana hivi vibinti havijui kupendwa na wala hajali maumiv ya mungine,tunaumia wengumechukua kichanga mnoo,vinasumbuaga kweli yaan
The best advice, keep it upTangaza ofisini kwenu umepata mchumba upo kwenye process za kuoa
Amtokee upate ubuyu??? Andaa na mbao za jeneza kabisa.Its like you were on my shoes brother, nishapanga kidume kimtokee then napata ubuyu deile ila bado sijapanga kademu ka'kudate in a fake way ili tu neutralize
acha uboya wewe....kuwa mwanaume sio umtafutie kidume a test..ujinga huo unaleta unakuwa kama.....we ndio uwe na demu mwingineIts like you were on my shoes brother, nishapanga kidume kimtokee then napata ubuyu deile ila bado sijapanga kademu ka'kudate in a fake way ili tu neutralize
MWANAUME KAMILI HAINGILII MAHUSIANO YA WATU ETI ANAMPA DEMU AU ANACHUKUA USHILAWADU KWA DEMU ETI ANAJIDAI HAWAELEWI SIKU HIZI YEYE NA JAMAA WAKE HIZO TABIA ZA KI,NANILII WALE WALIOKATAZWA JIJI LA DAR...AU WALE WALIOKAMATWA PEACKOK TABIA ZA KICHOKO..HAKUNA CHA USHILAWADU MI NAMAINDI SANA MOVE HAZIELEWEKI....AFANYE KWELI SIO ANAHANGAIKA AF ATAKUWAJE NA KADEMU KAMOJA TU HAKO NDIO MAANA ANBABAIKA...Mkuu sijamshauri Rafiki wake amtongoze,, naomba usome hapo vizuri ktk koment yakwanza ,nmemwambia *** mwambie rafiki yako ambaye nadem anamjua ,,huyo rafiki ajifanye km anampa ushilawadu yaaan uongo ,,hapa tunatumia umbeya ili kujua dhamira ya uyo mwanamke ...
Ikiwa rafiki atampgia kisha amwambie **** Marry , unajua siwaelewi wee na Frank ,,, kwan mahusiano yenu yamekuaje ??? Nambona Frank anataka kumvalisha Pete Mwanamke mwingine ???... Bila shaka hapa demu atalipuka sanaaaa.
Nakwakua jamaa anasema wameachana lkn bado kanamtext yaaan kanamuweka njia panda ,, sasa hapo demu atafanya moja kati ya hili....
1---- demu anaweza asijali sana kuhusu jamaa kumvalisha Pete mwanamke mwingine...nahapo ndo jamaaa atajua nikweli kanampotezea MUDA nakutaka kampige mizinga.
2---- demu apagawe atembeee haraka amtafute jamaa kuhoji izo habar lkn pia kuomba msamaha warudiane amvishe Pete.......hapo ndo jamaa atajua kumbe kanamhitaji lkn kanajifanya tuuu.
SIJAMSHAURI AMWAMBIE RAFIKI AMTONGOZE ,,SIJAMSHAURI AFANYE KITU KITAKACHOMUATHIRI ....EMBU TAFUTA KOMENT YANGU YA KWANZA NILOMSHAURI UTAIELEWA ZAIDI.
utuletee mrejesho mkuuMaserati you're talking real, nimeipenda ushauri wako kwani kwa uchizi tu nimo ila karibuni nimejifanya mlokole flani. Iyo plan lazima nitaibuka nayo, hahaha!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna sehemu nimesoma vibaya au?? "Ameanza hata kuniamkia" [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli kabisa..
Hiyo inaitwa sitaki nataka. Anataka akuumize tu halafu baadae akurudie. Tangaza una mchumba basi,tafuta hata picha ya demu mmoja mkali weka peofile picha whatsapp andika usingizi wangu iache siku mbili utaona madongo atakayokupa,utasikia mara ooh mzuri mara ooh kumbe ndio wifi hamna lolote roho itakuwa inamuuma na atalia na moyo wake mchana na usiku.
Ila we naee kuwa mwanaume,kaza roho hiyo kwani huyo ndio demu wako wa kwanza,kwani kakukuta bikra???mbona unadharirisha wanaume wenzio we nawe!!!!? Ghkaaa!!!
Hebu jichetue kidogo na yeye aumie then kama unampenda mvalishe hiyo pete hata ukioa 2030 ilimradi pete anayoitaka umempa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anaweza kolea mazimaWee unasema!!! Amtafte mcchana mwengne alaf apretend anadat nae huyo mcchana nae akimpenda qeli iv wawajua wanawake au unawackia tu[emoji23][emoji39][emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio roho mbaya mkuu.
Sisi wanawake kuna muda tunakuwa sitaki nataka.
Sasa akishasikia hivyo anaweza kutangulia home kwa jamaa bila kuambiwa