Anasema hanitaki lakini haishi kunitumia text

Anasema hanitaki lakini haishi kunitumia text

Kweli kabisa..
Hiyo inaitwa sitaki nataka. Anataka akuumize tu halafu baadae akurudie. Tangaza una mchumba basi,tafuta hata picha ya demu mmoja mkali weka peofile picha whatsapp andika usingizi wangu iache siku mbili utaona madongo atakayokupa,utasikia mara ooh mzuri mara ooh kumbe ndio wifi hamna lolote roho itakuwa inamuuma na atalia na moyo wake mchana na usiku.

Ila we naee kuwa mwanaume,kaza roho hiyo kwani huyo ndio demu wako wa kwanza,kwani kakukuta bikra???mbona unadharirisha wanaume wenzio we nawe!!!!? Ghkaaa!!!
Hebu jichetue kidogo na yeye aumie then kama unampenda mvalishe hiyo pete hata ukioa 2030 ilimradi pete anayoitaka umempa.
Nmepata kitu#Maserati.


"Usingizi wangu" (in maserati voice)
 
Ila pamoja na yote yaani mapenzi ya watu wa ofisi moja bwana ni magumu sana.. sometimes its really difficult to overcome emotional and professional pressure at the same time. Mbaya zaidi mkute bosi wenu ni mmoja, mnafanya vikao vya kikazi pamoja, ukiharibu kitu unagombezwa kwenye meeting na demu wako yuko hapo hapo anashuhudia unavyokuwa reduced to ashes... Ukipata kahela tu ofisini hata kama una mipango yako kama mwanaume anaweza kukamendea kwa sababu anajua umepata, akikuomba ukampiga chenga inakuwa shida. hapo hapo ukimuona tu labda kuna mtu mwingine yuko karibu naye au yeye akiona kuna mwanamke mwingine ana ukaribu na wewe tayari ananuna na kuuliza maswali mengi...Ikitokea labda kuna issue imetokea kazini mkakosa mishahara au ikichelewa mnakuwa mmeishiwa wote.. Yaani nikiangalia yote hayo naona bora tu bora wapenzi wawe wa ofisi tofauti tena ikiwezekana pia fani tofauti... diversity ni nzuri.....
 
Mkuu tafuta weekend moja,Umuulize JICHO KAVU AKAELEZE
1.Kwanini anakutumia sms za kuashiria mahaba yanaendelea wakati mumeachana?
2.Kitu gani anakitaka kwako ili moyo wake utarudia muwe wote?


UKIONA BLAH BLAH BLAH.........
Mwambie mwanzo mwisho kukutumia sms hizo.(na akikutumia usijibu sasa)....

NB: Akikuamkia UITIKIE ,na malzia hujambo?
Kwshney _(keep busy with productive issues ,na kale kamshahara ulichokuwa una spend nae kahamishie kwny buznec zengne boss)

-Ukiweza jichukulie mtaani cute gal ------WEKA DIPLAY PIC IN WHASAP THEN,NA UNAKULA KIDOGO KUONDOA STRESS-
 
Ignore texts zake kama unahisi ku ignore huwezi fanya hivi, text ikifika
tuu ifungue na u delete usisome au delete moja kwa moja ili usipate ushawishi wa kumjibu.. akifanya hivyo mara tano sita bila kuon jibu lako atajiuliz halafu fuata shauri zingine za wadau kama kuweka picha ya mdada etc.
Kikubw jifunze ku control hisia zako
 
Oya mwanangu me post zako nyingi nazikubali lakini katika hili mkuu unampotosha. Unaona hata wewe mwenyewe unaanza kupata mashaka, rafiki yake wa damu sio? Usiniambie na wewe msemo mdogo wa "Kikulacho kinguoni mwako" umekupita

cc kapeace
Mkuu sijamshauri Rafiki wake amtongoze,, naomba usome hapo vizuri ktk koment yakwanza ,nmemwambia *** mwambie rafiki yako ambaye nadem anamjua ,,huyo rafiki ajifanye km anampa ushilawadu yaaan uongo ,,hapa tunatumia umbeya ili kujua dhamira ya uyo mwanamke ...

Ikiwa rafiki atampgia kisha amwambie **** Marry , unajua siwaelewi wee na Frank ,,, kwan mahusiano yenu yamekuaje ??? Nambona Frank anataka kumvalisha Pete Mwanamke mwingine ???... Bila shaka hapa demu atalipuka sanaaaa.

Nakwakua jamaa anasema wameachana lkn bado kanamtext yaaan kanamuweka njia panda ,, sasa hapo demu atafanya moja kati ya hili....

1---- demu anaweza asijali sana kuhusu jamaa kumvalisha Pete mwanamke mwingine...nahapo ndo jamaaa atajua nikweli kanampotezea MUDA nakutaka kampige mizinga.

2---- demu apagawe atembeee haraka amtafute jamaa kuhoji izo habar lkn pia kuomba msamaha warudiane amvishe Pete.......hapo ndo jamaa atajua kumbe kanamhitaji lkn kanajifanya tuuu.




SIJAMSHAURI AMWAMBIE RAFIKI AMTONGOZE ,,SIJAMSHAURI AFANYE KITU KITAKACHOMUATHIRI ....EMBU TAFUTA KOMENT YANGU YA KWANZA NILOMSHAURI UTAIELEWA ZAIDI.
 
Angekuwa anatumia text sanamu halimjibu sidhan kama angeendelea kutuma text sasa kwakuwa anatumia text binadamu tenaa anaejua anampendaa na anajibiwaa wachaa akuendeshee tuu siushakaaa mkao wakupelekwaa
 
Habari zenu wana bodi,
Kuna binti nilikuwa na date naye lakini hapa katikati ikatokea kutoelewana na isitoshe tupo ofisi moja, yote ni kwa sababu ya maneno yaliyoibuka ndipo akasema kuwa hataki mahusiàno na Mimi, lakini cha kushangaza haishi kunitumia jumbe mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii hata kwenye simu. Na text zake zote zinafanana kama ilivyokuwa awali wkt bado uhusiano upo on peak.
Hapo mwanzo nimejaribu kumbembeleza arudishe roho nyuma ili tuendelee lakini amebaki kuwa na msimamo uleule na cha kushangaza text anazotuma ni hadi usiku wa manane.

Nashindwa kuelewa msimamo wa huyu binti na mara zote hapo nyuma alikuwa analazimisha nimvishe pete lakini sikuwa nimejipanga na amekuwa mdadisi kwa watu kwa kila hatua ninayopiga mbaya zaidi nikimchomekea turudiane anakuwa mbogo na ameanza hata kuniamkia kitu ambacho hakikuwa kawaida hapo kabla.

Hii hali imeniumiza sana kwani binti amebaki kuwa na msimamo tata na ukweli ni kwamba tulishibana sana hadi coworkers wakawa wanaona wivu na kwa hivi sasa imekuwa kama vile wanashangilia kuona love birds tumetengana.

Naomba ushauri wenu wana jamvi nifanye nini kuepukana na hii hali na labda nimweleze nini ili tuendelee kama zamani.

Nawasilisha!!
Raha ya exhaust moshi mkuu
 
Tatizo unaongea sana mipango mingiii utekelezaji hakuna.
Ushauri
Andaa hennessy nanyagi za kutosha.
Mweleze unataka kikao cha usuluhishi na iwe hotel au kwako. Akija acha formula formula.
Uwe muhuni kidogo story nyingi huku ukibambia bila fujo.
Baadae ataachama mbaja, jifanye ujaona, kula mate teremka kisogoni mpaka kwenye mellon. Kisha unahamia mbele kula vuzi km tembele.
Kisha muulize bado ana msimamo gani baada ya kikao.
Akisua sua majibu zamisha kitu.
Onyo.
Mda huo usiwaze wala kukumbuka majeraha ya lissu utaumbuka.
Teh teh teh. Jamani nyie! Hivi humu jf pakoje?
 
kitu ambacho ilikuwa ninapambana nacho sana wakati nimeajiriwa ni mapenzi kazini, nilikuwa nimeajiriwa katika shirika flani la ndege kuna watoto wazuri mno na wenye mishahara ya kuaminika na hivyo walikuwa wanatinga pamba kali sana sana lakini sikuwahi hata siku moja ku date mfanyakazi mwenzangu wengine walifikia mpaka kuniita kwa majina machafu, mapenzi kazini yana gharama zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom