Niite Profesa
Senior Member
- Jun 19, 2015
- 100
- 106
Kuna mrembo mmoja ivi bhana jana nilimualika Dinner/Chakula cha jioni na nilipika haswaa Pongezi kwa YouTube mana nilipata maujanja ya jikoni kule...
.
Sasa bhana muda wa Dinner namcheki akagoma Kuja nikamuuliza nini shida eti ooh naogopa macho ya watu...
.
Nikaona huyu ng'ombe hanijuuui(by Mkojani Voice) eti anataka nimpakulie msosi kwenye hotpot afu nimpelekee
.
Nikaona isiwe kesi nikaita washkaji Tukala Msosi hadi punje ya mwisho...
.
Na hadithi yangu imeishia hapo.
.
Sasa bhana muda wa Dinner namcheki akagoma Kuja nikamuuliza nini shida eti ooh naogopa macho ya watu...
.
Nikaona huyu ng'ombe hanijuuui(by Mkojani Voice) eti anataka nimpakulie msosi kwenye hotpot afu nimpelekee
.
Nikaona isiwe kesi nikaita washkaji Tukala Msosi hadi punje ya mwisho...
.
Na hadithi yangu imeishia hapo.