Anasema ananipenda ila ana mtu

Anasema ananipenda ila ana mtu

Asee nafanya kazi bank, kwenye pilika pilika za kila siku, nikakutana na dada mmoja ambaye mara nying huwa anakuja kudeposit hela za bosi wake na kila akija anakuja kwenye dirisha lang.Tukazoeana nikachukua no ya simu, pole pole tukazoeana tukawa tunatoka out movie tunaenda nyama choma mara moja moja basi nikapiga sound. Dah dada akawa mpole kwel akaniambia kuwa ananipenda ila ana mtu wake na hawezi kuwa na watu wawili. Nafanya je?

Ushauri tafadhali
Sasa unataka ufanye nini na mtu keshachukuliwa...hujui kama ukiendelea kuwa karibu nae ndo unavyozidi kufall kwake chakufanya ww achana nae yaani punguza mawasiliano au yakate kabisaaaa...utaumia lkn utapoa..
 
Asee nafanya kazi bank, kwenye pilika pilika za kila siku, nikakutana na dada mmoja ambaye mara nying huwa anakuja kudeposit hela za bosi wake na kila akija anakuja kwenye dirisha lang.Tukazoeana nikachukua no ya simu, pole pole tukazoeana tukawa tunatoka out movie tunaenda nyama choma mara moja moja basi nikapiga sound. Dah dada akawa mpole kwel akaniambia kuwa ananipenda ila ana mtu wake na hawezi kuwa na watu wawili. Nafanya je?

Ushauri tafadhali
Sasa ww unataka ufanye nini na mtu keshachukuliwa we huna chako hapo na ukiendelea kujenga ukaribu nae ndo utakavyozidi kufall kwake kwahio chakufanya ni kupunguza au kukata mawasiliano...Utaumia lkn utapoa..
 
wee hao sio wanaume wa kweli bwana...mie demu namwambia kabisa urafiki na demu sinaga na pia ukikaa chini ule vya kwangu ujiandae kutoa papuchi...mapema nakwambia ukweli so kama wajijua wewe sio mtoaji papuchi huwezi kula vya kwangu

Dunia hii misimamo mbona inavunjwa tu?hata wewe ipo siku vyako vitaliwa tu na usipewe chochote
 
Dunia hii misimamo mbona inavunjwa tu?hata wewe ipo siku vyako vitaliwa tu na usipewe chochote

thubutu!!! i hate women taking advantage of me with a passion!! nilihonga nilivyokuwa mdogo na sikupata kitu nikakemewa na mama and from that day i vowed never to give a woman money bila kumvua chupi unless ni mama au ndungu yangu
 
thubutu!!! i hate women taking advantage of me with a passion!! nilihonga nilivyokuwa mdogo na sikupata kitu nikakemewa na mama and from that day i vowed never to give a woman money bila kumvua chupi unless ni mama au ndungu yangu

Wapo wengi tu na zinaliwa sana, kama si wewe kwa wengine
 
nahisi mwanamke anayezungumziwa hapa ni smile lkn muanzisha uzi hakujua kama anayemzungumzia ni memba MMU
 
Fanya Mapinduzi apo! Uyo mtoto ni wa kwako sema anaona noma kujirahisisha
 
kama anajua ana mtu wake alikupa namba ya simu ya nini kwa mimi ninavyo ona huyo demu atakuwa anakutega akuangalie kama unampenda kweli na nia yako ni kupita ama utaweka kambi jitaidi mpaka akuelewe.
 
 
Last edited by a moderator:
Asee nafanya kazi bank, kwenye pilika pilika za kila siku, nikakutana na dada mmoja ambaye mara nying huwa anakuja kudeposit hela za bosi wake na kila akija anakuja kwenye dirisha lang.Tukazoeana nikachukua no ya simu, pole pole tukazoeana tukawa tunatoka out movie tunaenda nyama choma mara moja moja basi nikapiga sound. Dah dada akawa mpole kwel akaniambia kuwa ananipenda ila ana mtu wake na hawezi kuwa na watu wawili. Nafanya je?

Ushauri tafadhali

Daa mbona simpo huyo hana mtu huyo,ulitaka akuambie sina mtu,ni wewe tu nilikuwa nakusubiriii...kha wewe usiwe na haraka nae....anakataa maneno bt matendo yako anayakubali sana,ndo maana yuko tayari kutoka na wewe na sio mpenzi wake....,anza kumpa simple zawadi uone kama atakataa au atakuambia mtu wangu atosha,akikubali taratiibu msifie umkisi hata mkono wakati mko viwanja au mkiachana,usiombe mchezo kabisa,halafu uone kama yote hayo atayakataa,kumbuka usiforce wala kuharakisha,pia sometimes changia na wewe offers.....vyako vinamaana kuliko vyake.....pia kumbuka kuna baadhi wa wadada wapenda wakaka walio Bank either kwasababu ya usmart wao pale bank,AU Wanahisi wewe hela zote bank ni zako au una access kubwa ya kupata mkopo,its like ukiwa una Gari hata kama umeazima wengi wao wakikuona tu anazimika hata kama anajua sio lako.....
CC:WA KISHUA, Mzee wa magari.
 
Back
Top Bottom