Anasema ananipenda ila ana mtu

Anasema ananipenda ila ana mtu

Hahahaha ujue inategemea huyo mwanaume anakuonaje...akikuona umekaa kujiuza uza basi atakupa condition kama za mzabzab, ila akikuona innocent na mtu mwenye misimamo na maisha yake mbona atazitoa tu hadi mwanamke mwenyewe aone aibu

Ni kweli, wanaume wanasoma namba kwanza..
 
halafu mwanaume tafuta kazi ya maana mwanaume utakuwaje cashier bana...unapokea hela za wanaume wengine wewe unadeposit tu na kuhesabu
toka dirishani huko kuhesabu hesabu hela kama wanawake kawajibike
nenda migodini kachimbe vifusi,nenda bandarini au karushe ndege
hata mimi ningekukataa

kazi kweli kweli wengine wanalilia usawa wengine wanataka kuonekana dhaifu. kweli mwanamke ni kiumbe dhaifu hata smile anajua hilo. hata wakiwezeshwa bado hawawezi.
 
Kuna mahali umekosea
ameshindwa kukusoma

asingekubali muende out kama hakukuwa na nafasi ya wewe kumpata
nafasi ilikuwepo,ila kuna kitu umeharibu

unaweza kukuta hata mtu hana

Yaani kuna kaka alikuwa anaziingiza kwangu, katika kufahamiana nikamuuliza ulisoma wapi, ulichukuwa combi gani, alinijibu amesoma HGL, Tabora Boys. Jana ndiyo ameniambia baada ya form four alisoma Chang'ombe Veta then Chuo Cha Ufundi. Ile kunidanganya imeshaniput off.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
ila Smile kiukweli uwa unaniwacha hoi aseee una maneno hatari sana...nimecheka apa usiku wote huu adi nimetolewa mbio room
 
Last edited by a moderator:
Yaani kuna kaka alikuwa anaziingiza kwangu, katika kufahamiana nikamuuliza ulisoma wapi, ulichukuwa combi gani, alinijibu amesoma HGL, Tabora Boys. Jana ndiyo ameniambia baada ya form four alisoma Chang'ombe Veta then Chuo Cha Ufundi. Ile kunidanganya imeshaniput off.

Lakini kakuGegeda au hajakuGegeda?
 
Asee nafanya kazi bank, kwenye pilika pilika za kila siku, nikakutana na dada mmoja ambaye mara nying huwa anakuja kudeposit hela za bosi wake na kila akija anakuja kwenye dirisha lang.Tukazoeana nikachukua no ya simu, pole pole tukazoeana tukawa tunatoka out movie tunaenda nyama choma mara moja moja basi nikapiga sound. Dah dada akawa mpole kwel akaniambia kuwa ananipenda ila ana mtu wake na hawezi kuwa na watu wawili. Nafanya je?

Ushauri tafadhali


Msaidie tu jamaa we kuwa Kidumu jamaa awe Ndoo. Bt take care usiuze mechi tumia Condom.
 
Hahaha watu wanaliwa mpaka milioni 7 na hiyo kitu hawapati....chezeya watoto wa dotcom wewe

wee hao sio wanaume wa kweli bwana...mie demu namwambia kabisa urafiki na demu sinaga na pia ukikaa chini ule vya kwangu ujiandae kutoa papuchi...mapema nakwambia ukweli so kama wajijua wewe sio mtoaji papuchi huwezi kula vya kwangu
 
Back
Top Bottom