Anasema anajuta, nimsamehe

Anasema anajuta, nimsamehe

Upekee wa wanaume anapoamua kumpenda mwanamke kwelikweli. Huwa haijalishi niwapi amemkuta , atamwamin utadhan wamejuana miaka kadhaa ilopita


Shida nihuyo alochaguliwa kuaminika ....


Tatizo haya mambo, ukishayathibitisha huwa yanabaki kuzunguka zunguka kichwan na kuondoa Amani.


Humchukua Mwanaume Jasiri sana kuendelea kupenda kwa kipimo kile kile , na anayeweza hapa, ataweza hata kuishi na mdada mwenye mtoto.


Anyway ,unamsamehe ndio, lkn shida atafanyaje umuamin ? ( inabaki ni imani tu).

Unamsamehe, lkn je shida anazozisemea kwao zimeisha ??.



Aya, akiamua kua anakushirikisha shida zake, je utazitatua ? Au wee kumpa pesa ni pale utakapokua unakutana naye tu siku hiyo unakula mzigo nandipo unampa naela ??.....ataishije sasa ???.



Mambo ni Mengi sana, na mambo yana changanya sana..



Ila mwisho, Hamnaga sababu ya kuhalalisha MTU KUCHEPUKA ,haipo haipo haipo..... Kwann usiombe mtaji?...



Mtoa mada Fanya kitu kimoja, wakati Fulani ni ngumu, Ila ukweli nikwamba kuna baadhi ya watu wakiomba msamaha humaanisha , embu mpe nafasi nyingine, na wewe sasa JITAHIDI KADIRI ya uwezo wako ,umwondelee "Ushawishi anaoupata" ili asiseme "Nilichepuka sababu ya kitu Fulani ".... ikiwezekana na ujitambulishe .





Kuna watu ni wachepukaji hodari hao nahautakaa ujue !.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point lakini hiyo sababu aliyosema huyo mwanadada ni uongo. Hapo unaweza kuta anaishi peke yake na hana hao ndugu anaosema. He is perfect real golddigger na kampata mtu wa mkoani.unajua tena siai wa mikoani tukiopoa watoto wa jiji tunaona kama.
tumeokota malaika.
 
Familia zetu hizi daah, watu wanamtegemea mtu asiye na kipato wanategemea pesa akachukue wapi? Umasikini mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
We acha tu hali ya kitanzania ni mbaya sana. Kuna mwanadada anajiuza hapa na pale na ana kipato kikubwa tu kwa kuuza nyapu. Na anapendwa sana kwenye familia yake maana ndiye tegemeo. Baba yake anampenda mno. Anatoka wakati wowote kwenda usiku kwa wanauma au kurudi amelewa nyang'ayang'a. Lakini ndio tegemeo la wote na wadogo zake anawasomesha yeyena ada analipa, kodi ya nyumba na chakula everything.
 
Nikweli kabisa Mkuu usemacho.. Mtoa mada atakua anajua kama anaishi mwenyewe au lah...Ila kama hajui basi pole yake sana.
Umeongea point lakini hiyo sababu aliyosema huyo mwanadada ni uongo. Hapo unaweza kuta anaishi peke yake na hana hao ndugu anaosema. He is perfect real golddigger na kampata mtu wa mkoani.unajua tena siai wa mikoani tukiopoa watoto wa jiji tunaona kama.
tumeokota malaika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom