Atakayekasirika anaakili za kunakili. Ni mara ngapi mtu anasahau ya kwake mwenyewe? Au umesahau kuna kipindi unatafuta kitu ulichokishika mkononi sembuse kitu cha mara moja kwa mwaka.
kwa vijana walio mavyuoni kipindi hiki cha utandawaz birthday nadhani kwao ndo kipimo cha upendo wa dhati maana ukiisahau ya mwenzio tu kuchuniana kunaanza mwishowe uhusiano unalega!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.