Anapodai macho yangu yanamtongoza...


Ni kheri umenijuza nilikuwa kipofu kwenye hili!
 
mh, emu weka picha ya macho yako hapa tujadili vizuri.

kwani yanamtongoza kila wakati kwahiyo hata nikikubandikia humu sanasana utaona ya kawaida tu mpaka mhusika anitokee ndiyo somo hugeuka.............
 
Loya acha kuwalegezea watoto wetu macho,
weye shauri lako.
 
Nakukkubali.

Saidia kufundisha form IV fasihi andishi kuhusu ushairi.

Nafikiri italeta Big Result Now;
 
MadameX hayo ya bundi yanatisha lol......................afadhali ya avatar yako yana mvuto mkali!
 
MadameX hayo ya bundi yanatisha lol......................afadhali ya avatar yako yana mvuto mkali!
 
....your eyes tells everything...and it doesn't matter whether they are black, grey or blue...whether they are young or old...they will always mirror the contents of your heart.
 
....your eyes tells everything...and it doesn't matter whether they are black, grey or blue...whether they are young or old...they will always mirror the contents of your heart.

feels like an ensnared rabbit
 
kukodoa macho sana wakati unakula ugali ni ishara kwamba umebanwa na tonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…